Naongelea ya finance na public relations ofcourse waliotoka written kwenda oral. Majibu walisema wataweka kwenye website yao trh 4.12.2013 lakini usiku mzima mpaka asubuhi hakukuwa na kitu kama hicho. Wamekuja kuweka majina saa 4 wakati interview ni saa tatu, yaani saa lishapita.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.