Mwenye majina ya walofaulu usaili tpdc

Mwenye majina ya walofaulu usaili tpdc

kimwanzagala

New Member
Joined
Sep 12, 2013
Posts
3
Reaction score
0
Tunaomba alofanikiwa kuona majina ya walofaulu interview ya FINANCE OFFICER TPDC aturushie hapa maana hiyo website waliotupa wala haitaki kufunguka.
 
Je kwako yalifunguka saa ngapi? Maana mimi niliyaona nne kasoro asubuhi na interview ilianza saa tatu asubuhi. Wamefanya vibaya.
 
Hapa sijawaelewa. kimwanzagala unaongelea waliofahuru Test wakaitwa kwenye Oral au?

Na wewe Obyree unaongelea wepi hapo?
 
Last edited by a moderator:
Naongelea ya finance na public relations ofcourse waliotoka written kwenda oral. Majibu walisema wataweka kwenye website yao trh 4.12.2013 lakini usiku mzima mpaka asubuhi hakukuwa na kitu kama hicho. Wamekuja kuweka majina saa 4 wakati interview ni saa tatu, yaani saa lishapita.
 
Back
Top Bottom