Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,951
- 54,258
Niambie kwanza.Kama unaenda kuwaloga CCM wote nakutumia namba za simu muda si mrefu.Wana JF
Nawaombeni msaada kuna shida moja tunahitaji ufumbuzi wa tatizo lililopo, naomba msaada kwa wanaomfahamu MGANGA BINGWA ambaye sio mbabaishaji pale MAKETE huko njombe atuasidie hata kama una namba zake mtu saidie. unaweza ukanitumia au kunielekeza inbox akama unaona hapa watakufahamu ukitoa ushauri.
Natanguliza shukrani za kipekee.
TAFADHALI TUSITUKANE WALA KUKEJELI KILA MTU ANAYAKE MATATIZO. Kama haikuhusu afadhali ukae kimya.