Kwa bahati mbaya rafiki yangu kasahau pattern katika simu yake. SAMSUNG GALAXY GRAND CORE..mwenye kujua namna ya kurestore au njia nyingne ya kutoa.plz msaada wako ni muhimu sana
Zima simu yako, ikishakua completely off washa ukiwa umehold vol+ na power button at same time ( inategemea Pia na model ya simu ) then ikiwaka utaingia kwenye recovery menu hapo ndio unaweza kurestore ur phone mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.