Godfirst
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 406
- 468
Mpendwa nikutahadharishe tu ukiombwa hela ya uniform jua unaenda kutapeliwa.
Ukishatoa hiyo hela usisahau kutupa mrejesho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishatoa hiyo hela usisahau kutupa mrejesho.
Habarini wadau. Natumai wote wazima.Msaada wa information tafadhali.
Kwa ambaye ana uzoefu na kampuni tajwa hapo juu naomba anitoe wasiwasi kidogo kwa kunifungua macho.
Nimeitwa kazini na hawa jamaa ila ninahisi dalili za upigaji kiaina. Nimejaribu kuwa-search kupata habari zao ila hamna maelezo ya kutosha.
Kabla sijapoteza muda wangu naombeni mwenye taarifa zake anijuze. Kwa madai yao wapo kurasini.
Asanteni. Siku njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app