Mwenye hii adaptor aniuzie

Mwenye hii adaptor aniuzie

baba glory

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2016
Posts
292
Reaction score
213
Habari wakuu,
Mwenye hii adaptor hapa chini naomba aniuzie, hii imeungua na mashine imeisha chaji nashindwa jinsi ya kuichaji.
1564419497788.jpeg
1564419549953.jpeg
 
Vipi ukichukua adapter yoyote uakakata ile plug ya kuchomekea kwenye hiyo mashine ukaunga hiyo yako? Sijui umenielewa?
 
Shida ni hapo kwenye ouput units mkuu nikipata unayotoa hivyo vipimo hapana shida
Vipi ukichukua adapter yoyote uakakata ile plug ya kuchomekea kwenye hiyo mashine ukaunga hiyo yako? Sijui umenielewa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom