EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Hii beat hata ukiimba singeli watu hawasikilizi unachosema wanatambaa na beat tu.
Hii beat haijawahi kumtakaa mtu hata gospel uta-beng tu.
Producer na muimbaji wa kwanza wamefaidikaje au ndio wamemuachia Mola?
Kama wana HATI MILIKI watembee nchi kwa nchi kila aliyetumia hii beat awalipe. Au nadanganya ndugu zangu
Nshamaliza!!
Hii beat haijawahi kumtakaa mtu hata gospel uta-beng tu.
Producer na muimbaji wa kwanza wamefaidikaje au ndio wamemuachia Mola?
Kama wana HATI MILIKI watembee nchi kwa nchi kila aliyetumia hii beat awalipe. Au nadanganya ndugu zangu
Nshamaliza!!