Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,080 Reaction score 165,197 Jan 26, 2014 #21 Huyo dem wako weka mbali na watoto, waachie magwiji hupawezi hapo wewe...
M CM JF-Expert Member Joined Nov 25, 2012 Posts 2,498 Reaction score 1,482 Jan 26, 2014 #22 We piga 0713 utajibiwa haraka na utapata majibu sahihi kwa swali lako
20PROFF JF-Expert Member Joined Nov 5, 2013 Posts 8,217 Reaction score 7,255 Jan 27, 2014 #23 Kk kula kisamvu muhogo si unao..hebu mix
Mwenyeminazi Senior Member Joined May 24, 2012 Posts 194 Reaction score 67 Jan 27, 2014 #24 Daud omar said: Anataka utembeee kwenye matope Click to expand... Dictionary bado inahitajika hapa
excel JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 22,434 Reaction score 17,862 Jan 27, 2014 #25 Ruttashobolwa said: Naomba niwe wa mwisho kuamini hayo uliyo sema yamekutokea. Kuna thread ya aina yako ziliitwa "BABY NIPELEKE CHOONI" ilishaletwa hapa na wakina gedo Mzizi mkavu. Samahani lakini. Click to expand... Yani wewe kila kitu tu ni kuwa mwisho kuamini?? sasa kama wa kuaminishwa ni wewe mmoja? huoni kuwa utakuwa wa kwanza kuamini kama utaamini?
Ruttashobolwa said: Naomba niwe wa mwisho kuamini hayo uliyo sema yamekutokea. Kuna thread ya aina yako ziliitwa "BABY NIPELEKE CHOONI" ilishaletwa hapa na wakina gedo Mzizi mkavu. Samahani lakini. Click to expand... Yani wewe kila kitu tu ni kuwa mwisho kuamini?? sasa kama wa kuaminishwa ni wewe mmoja? huoni kuwa utakuwa wa kwanza kuamini kama utaamini?
shansarie JF-Expert Member Joined May 25, 2013 Posts 5,690 Reaction score 3,370 Jan 27, 2014 #26 Upite barabara ya vumbi
A asakuta same JF-Expert Member Joined Mar 1, 2011 Posts 14,829 Reaction score 5,039 Jan 28, 2014 #27 uzushi na uongo uongo mwingi hapa...........