Wana ofisi zao za kanda...
Dar, Arusha na Mwanza...
Kama uko kanda ya ziwa nenda Mwanza...
Kama uko kasikazini nenda Arusha...
Mashariki nenda Dar...
Sina taarifa sahihi kuhusu ajira zao kwasasa so ukitaka kujua, nenda ofisini kwao watakupa majibu mkuu...