UMMA: tunataka umeme wa uhakika jamani. Tunataka elimu bora, maji, huduma za afya bora na miundo mbinu mizuri.
SIRIKALI: naona watanzania mmechoka kuwa na amani tuliyonayo. Nawasihi mtupe muda kila kitu kitakuwa sawa.
UMMA: mbona baba wataifa alisema tusichimbe madini yetu kwa mikataba isiyo na maslahi kwanini mnakuwa wakaidi?
SIRIKALI: tuko mbioni, tunafanya mchakato juu ya hiyo mikataba
UMMA: mbona hizo mbio hammalizi tu.
SIRIKALI: Tuwe wavumilivu
SIRIKALI: naona watanzania mmechoka kuwa na amani tuliyonayo. Nawasihi mtupe muda kila kitu kitakuwa sawa.
UMMA: mbona baba wataifa alisema tusichimbe madini yetu kwa mikataba isiyo na maslahi kwanini mnakuwa wakaidi?
SIRIKALI: tuko mbioni, tunafanya mchakato juu ya hiyo mikataba
UMMA: mbona hizo mbio hammalizi tu.
SIRIKALI: Tuwe wavumilivu