Chibolo
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 5,768
- 8,037
magari
5 ya mwenge yamepata ajali na wakimbiza mwenge 9 wamejeruhiwa akiwemo
mkimbiza mwenge kitaifa nd.Simai wakati msafara ukielekea wilaya ya
Mpwapwa.tunawapa pole na tunaomba wapone haraka ili waendelee na shughuli ya ujenzi wa taifa.source.habari tbc.one.
5 ya mwenge yamepata ajali na wakimbiza mwenge 9 wamejeruhiwa akiwemo
mkimbiza mwenge kitaifa nd.Simai wakati msafara ukielekea wilaya ya
Mpwapwa.tunawapa pole na tunaomba wapone haraka ili waendelee na shughuli ya ujenzi wa taifa.source.habari tbc.one.