lovebitelol
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 964
- 965
Mwendokasi ya mizigo
For Health and Safety issues hairuhusiwi. Imagine gari limewaka moto watu wanakimbilia mlangoni nini kitatokea hapo?Hivi ni vibaya kuweka mizigo huko ee...maana wengine hatujapanda hilo gari
Anhaa hivi kwa nini wasikataze moja kwa moja kwa maana kuna kipindi niliona picha mtu amepandisha bodaboda...For Health and Safety issues hairuhusiwi. Imagine gari limewaka moto watu wanakimbilia mlangoni nini kitatokea hapo?