Kampuni inafanya kazi bila ushindani na ni Mali ya Umma ndio maana unaona wanafanya watakavyo hiyo Kampuni ingekua ya mtu binafsi mwenye njaa hizo shida zote za abiria ungezisikia tu watu wametengewa bara bara yao hakuna kuingiliana na magari mengine lakini utaambiwa wanapata hasara na watu wa hiace wao wanapata faida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.