Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,454
- 10,755
Mimi nikiwa jijini hapa napenda sana kutumia haya mabasi ya BRT ama mwendokasi. Nimeshangazwa na kitendo cha kutoa viti ambavyo vinatumiwa na wasafiri hasa hapa Feri ama Kivukoni na kuvitupa pembeni. Huu mradi una shida kubwa.
Kama ndio usimamizi ndio huu sijui huu mradi wa SGR utakuwaje. Hapa ndio moyo unasema nchi hii inatakiwa miradi isimamiwe na kichaa katika kufanya maamuzi. Mradi unapoteza hela nyingi kwa uzembe ulio wazi.
RAIS MAGUFULI MULIKA HUU MRADI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ndio usimamizi ndio huu sijui huu mradi wa SGR utakuwaje. Hapa ndio moyo unasema nchi hii inatakiwa miradi isimamiwe na kichaa katika kufanya maamuzi. Mradi unapoteza hela nyingi kwa uzembe ulio wazi.
RAIS MAGUFULI MULIKA HUU MRADI.
Sent using Jamii Forums mobile app