Mwendokasi hali bado tete

Mwendokasi hali bado tete

bikira latifah

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2016
Posts
806
Reaction score
2,566
Leo bwana mda huu inaonekana wale walioacha kuutumia huu usafiri wamerudi hivyo kufanya hali iwe ile ile maana yake abiria wameongezeka mara 2 na hizo gari bado ni chache wasipojipanga watapangwa tena wait and see

Hapa fire gari ya kivukoni dk 35 haionekani watu full
 
Sidhani, yaani mtu anakaa gongo la mboto, tabata huko, kazi kariakoo apande tu mwendokasi kisa ushamba?
Tz inamengi mkuu hakuna linaloshindikana, kama wanamsimamisha Lissu kila siku kizimbani bila sababu za msingi, kisa ushamba wa kutoijua sheria kusudi kwamba wamsikilize huenda watajifunza kwake, hawawezi kushindwa kugombania mwendokasi mkuu...
 
Shida ya watanzania ni mambo mapya, hapo siyo kwamba wameongezeka walioacha kutumia huo usafiri, hapana, wameongeza ili kupanda gari mpyaa...
Watu wengi walikuwa wameacha kupanda mwendokasi wakahamia kwenye Pikipiki daladala na bajaji.
Mfano mzuri ni mwanzoni kabla hali haijawa mbaya, gari zilikuwa zinasimama na kushusha vituo vyote.

Hao watu wote wakirudi bado hizi buses hazitotosha..
 
Watu wengi walikuwa wameacha kupanda mwendokasi wakahamia kwenye Pikipiki daladala na bajaji.
Mfano mzuri ni mwanzoni kabla hali haijawa mbaya, gari zilikuwa zinasimama na kushusha vituo vyote.

Hao watu wote wakirudi bado hizi buses hazitotosha..
Waongeze mengine basi, watupumzishe na kelele mjini, wanatukatia sitimu ya jambo letu Oktoba 29 siku ya uchafuzi...
 
Na ndio nachoona watu leo nyomi hilo
Oooh! Bikira latifah umejaa neema, umebarikiwa kuliko wanawake wote na wazao wa tumbo lako nao watabarikiwa, mizimu ya ukoo wangu imekuchagua wewe tujenge familia, nikununulie na ndinga kali uachane na mwendokasi mama...
 
Uko sahihi kabisa naona hata daradara za mabibo leo na zile za makumbusho posta hazina soko kabisa leo
 
Ili kutatua hili tatizo inabidi gari zote za mwendombio kuletwa kwenye hizo njia na sio vinginevyo, huko Mbagala na gongolamboto ni kujidanganya na kuongeza tatizo
 
Tembeeni kwa miguu .. Na msifanye makosa 29 October
 
Back
Top Bottom