MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,483
- 20,430
Haya sasa Sugu kajibu mapigo
Ndio maana wanaume wengine wanasusa watoto. Wanawake muda mwingne Akili zetu tunazijua wenyewe tusameheni tu. Ndio mama zenu, wake zenu, dada zenu mtafanyaje
Sugu avumilie tu, alitoka wapi na mwanamke asiye na akili?Nasubiri jibu la Faiza maana akili yake aijua mwenyewe
Hahahaha alitoka nae huko huko,huyu Dada nadhani mapenzi yanamtesa na hajapata wa kumkuna vzr kumshinda Sugu ndo maana haishi kuwewesekaSugu avumilie tu, alitoka wapi na mwanamke asiye na akili?
Siku zote nawaambia wanaume kaeni mbali na mwanamke mjinga hata kama ana sura ya MALAIKA kuna kesho atakuumbua.