Mwembeyanga 9/11/2014

Mwembeyanga 9/11/2014

kailakarama

Member
Joined
Aug 30, 2014
Posts
73
Reaction score
30
ACT-Tanzania Taifa Kwanza. Wazalendo kesho saa nane mchana kutakuwa na mkutano mkubwa wa hadhara utakaofanyika katika Viwanja vya mwembeyanga Temeke.
Tujitokeze kwa wingi kumsikikiza Mwenyekiti Taifa wa ACT-Tanzania Kidawi Limbu.
 
...

....ndo shida ya digidigi kufuata nyayo za tembo wakati mwingine ni kama kutumbukia kwenye mashimo !!!
 
matapeli wakubwa................kesho ndio mwisho wenu..............akiana nani mtahutubia mawe na mitandao
 
ACT-Tanzania Taifa Kwanza. Wazalendo kesho saa nane mchana kutakuwa na mkutano mkubwa wa hadhara utakaofanyika katika Viwanja vya mwembeyanga Temeke.
Tujitokeze kwa wingi kumsikikiza Mwenyekiti Taifa wa ACT-Tanzania Kidawi Limbu.


Mkutano mkubwa utautoa wapi weweeee? Hivi mnaona watanzania niwajingasana'labda huko Dar jaribuni mtapata!
 
Watumie ile mbinu ya ccm ya kusomba watu la sivyo wataumbuka mana hat uzi umeanzishwa masaa 4 yaliyopita wachangiji wakusuasua, umeshindwa hata na wa miss tanzania
 
Watangaze hela watanzania wapate hela ya kunulia Dawa mana Mahospital hakuna
 
Back
Top Bottom