Mwekezaji ndio anaamua awekeze Bara au Zanzibar na sio Serikali ya Tanzania

Michael Uledi

Senior Member
Mar 29, 2023
132
322
Mawakili wa Profesa Kabudi wengi wao wakiwa ni products za UDSM +Tumaini University, nadhani wana shida katika kufikili au hawajui kufikili vizuri. Nimemsikiliza Wakili Mwabukusi, Madeleka na wengine wengi wakijenga hoja dhaifu na lenye lengo la kuleta mpasuko kwenye umoja wa Kitaifa wetu.

Eti "...Samia na Mzanzibari mwenzake Profesa Mbarawa wameuza Bandari za Tanganyika...", ujinga wa viwango vya juu sana sana.

Hivi nani ambaye anaamua wapi awekeze? Ni Mwekezaji au ni Mh. Rais Samia? Mwekezaji yoyote serious ufanya visibility study ya mradi anaotaka kuwekeza na kuona returns on investment itarudi lini na kwa kiwango gani. Hivi Bandari zipi zipo more economically vissible kati ya Bandari ya Dar es Salaam au Bandari za pale Zanzibar?

Bandari zote za bara kwa maana ya Dar, Tanga na Mtwara + Bandari za Maziwa zina fursa kubwa zaidi za biashara kuliko Bandari za Zanzibar. Dar Port inazungukwa na nchi zaidi ya nane like Malawi, DRC, Rwanda, Zambia, Zimbabwe, Uganda.

Bandari ya Dar inahudumia almost soko la watu milioni 400 mpaka 500 wakati Bandar za Zanzibar zinahudumia soko watu si zaidi ya milioni tano. Sasa Mwabukusi alitaka Investor achague Bandari za Zanzibar? Ukichaa wa viwango vya juu huu wa Mawakili wetu.

Ziwa Nyasa linabeba soko la Malawi na Msumbiji, Victoria inabeba soko la Uganda, Kenya na Tanzania, Ziwa Tanganyika linabeba soko la DRC Nchi ya pili kwa Population na ukubwa wa eneo Afrika, sasa Mawakili wa mchongo ambao hawajui hata hesabu za kiuwekezaji walitaka DP World achague Bandari za Zanzibar? Wameamua kujitekenya na kucheka wenyewe.

Investor yoyote serious hata kama sio Mwarabu ni lazima angechagua Bandari za Bara zaidi sababu ya Geopolitical - economic opportunities ambazo Bandari za Bara zinakupa.

Decision ya wapi niwekeze ni ya Mwekezaji na sio decision ya Mama Samia na Mbarawa wala sio decision ya Mwabukusi na Madeleka.

Huu uwakili wa kutaka kupata political maleage utaisha lini?

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Mawakili wa Profesa Kabudi wengi wao wakiwa ni products za UDSM +Tumaini University, nadhani wana shida katika kufikili au hawajui kufikili vizuri. Nimemsikiliza Wakili Mwabukusi, Madeleka na wengine wengi wakijenga hoja dhaifu na lenye lengo la kuleta mpasuko kwenye umoja wa Kitaifa wetu.

Eti "...Samia na Mzanzibari mwenzake Profesa Mbarawa wameuza Bandari za Tanganyika...", ujinga wa viwango vya juu sana sana.

Hivi nani ambaye anaamua wapi awekeze? Ni Mwekezaji au ni Mh. Rais Samia? Mwekezaji yoyote serious ufanya visibility study ya mradi anaotaka kuwekeza na kuona returns on investment itarudi lini na kwa kiwango gani. Hivi Bandari zipi zipo more economically vissible kati ya Bandari ya Dar es Salaam au Bandari za pale Zanzibar?

Bandari zote za bara kwa maana ya Dar, Tanga na Mtwara + Bandari za Maziwa zina fursa kubwa zaidi za biashara kuliko Bandari za Zanzibar. Dar Port inazungukwa na nchi zaidi ya nane like Malawi, DRC, Rwanda, Zambia, Zimbabwe, Uganda.

Bandari ya Dar inahudumia almost soko la watu milioni 400 mpaka 500 wakati Bandar za Zanzibar zinahudumia soko watu si zaidi ya milioni tano. Sasa Mwabukusi alitaka Investor achague Bandari za Zanzibar? Ukichaa wa viwango vya juu huu wa Mawakili wetu.

Ziwa Nyasa linabeba soko la Malawi na Msumbiji, Victoria inabeba soko la Uganda, Kenya na Tanzania, Ziwa Tanganyika linabeba soko la DRC Nchi ya pili kwa Population na ukubwa wa eneo Afrika, sasa Mawakili wa mchongo ambao hawajui hata hesabu za kiuwekezaji walitaka DP World achague Bandari za Zanzibar? Wameamua kujitekenya na kucheka wenyewe.

Investor yoyote serious hata kama sio Mwarabu ni lazima angechagua Bandari za Bara zaidi sababu ya Geopolitical - economic opportunities ambazo Bandari za Bara zinakupa.

Decision ya wapi niwekeze ni ya Mwekezaji na sio decision ya Mama Samia na Mbarawa wala sio decision ya Mwabukusi na Madeleka.

Huu uwakili wa kutaka kupata political maleage utaisha lini?

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Kenge maji nyingine hii hapa. Sasa kwa mfano anaposema bandar zote baadae utakujaje kumzuia akizitaka za Zanzibar.
 
Mawakili wa Profesa Kabudi wengi wao wakiwa ni products za UDSM +Tumaini University, nadhani wana shida katika kufikili au hawajui kufikili vizuri. Nimemsikiliza Wakili Mwabukusi, Madeleka na wengine wengi wakijenga hoja dhaifu na lenye lengo la kuleta mpasuko kwenye umoja wa Kitaifa wetu.

Eti "...Samia na Mzanzibari mwenzake Profesa Mbarawa wameuza Bandari za Tanganyika...", ujinga wa viwango vya juu sana sana.

Hivi nani ambaye anaamua wapi awekeze? Ni Mwekezaji au ni Mh. Rais Samia? Mwekezaji yoyote serious ufanya visibility study ya mradi anaotaka kuwekeza na kuona returns on investment itarudi lini na kwa kiwango gani. Hivi Bandari zipi zipo more economically vissible kati ya Bandari ya Dar es Salaam au Bandari za pale Zanzibar?

Bandari zote za bara kwa maana ya Dar, Tanga na Mtwara + Bandari za Maziwa zina fursa kubwa zaidi za biashara kuliko Bandari za Zanzibar. Dar Port inazungukwa na nchi zaidi ya nane like Malawi, DRC, Rwanda, Zambia, Zimbabwe, Uganda.

Bandari ya Dar inahudumia almost soko la watu milioni 400 mpaka 500 wakati Bandar za Zanzibar zinahudumia soko watu si zaidi ya milioni tano. Sasa Mwabukusi alitaka Investor achague Bandari za Zanzibar? Ukichaa wa viwango vya juu huu wa Mawakili wetu.

Ziwa Nyasa linabeba soko la Malawi na Msumbiji, Victoria inabeba soko la Uganda, Kenya na Tanzania, Ziwa Tanganyika linabeba soko la DRC Nchi ya pili kwa Population na ukubwa wa eneo Afrika, sasa Mawakili wa mchongo ambao hawajui hata hesabu za kiuwekezaji walitaka DP World achague Bandari za Zanzibar? Wameamua kujitekenya na kucheka wenyewe.

Investor yoyote serious hata kama sio Mwarabu ni lazima angechagua Bandari za Bara zaidi sababu ya Geopolitical - economic opportunities ambazo Bandari za Bara zinakupa.

Decision ya wapi niwekeze ni ya Mwekezaji na sio decision ya Mama Samia na Mbarawa wala sio decision ya Mwabukusi na Madeleka.

Huu uwakili wa kutaka kupata political maleage utaisha lini?

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Tanzania iliwekwa chini ya ulinzi wa Mama Bikira Maria usiku mmoja kabla ya siku ya uhuru mwaka sitini na moja.

Ina ulinzi wa kiroho tena mkubwa sana, hawa kina Mwabukusi na wasomi wengine wanaopiga kelele miaka ya sasa ni sehemu tu ya vitu tunavyoweza kuvitawala kama taifa.

Huyo Mwanasheria ashukuru tu Mungu anapiga domo miaka hii yenye demokrasia aliyoileta Rais Samia, vinginevyo angekuwa katika wakati mgumu sana miaka ile ya RIP Magufuli.
 
Tanzania iliwekwa chini ya ulinzi wa Mama Bikira Maria usiku mmoja kabla ya siku ya uhuru mwaka sitini na moja.

Ina ulinzi wa kiroho tena mkubwa sana, hawa kina Mwabukusi na wasomi wengine wanaopiga kelele miaka ya sasa ni sehemu tu ya vitu tunavyoweza kuvitawala kama taifa.

Huyo Mwanasheria ashukuru tu Mungu anapiga domo miaka hii yenye demokrasia aliyoileta Rais Samia, vinginevyo angekuwa katika wakati mgumu sana miaka ile ya RIP Magufuli.

Nimecheka sana, kama ww ndio umandika hivi . Hii nchi ina safari ndefu sana
 
Mawakili wa Profesa Kabudi wengi wao wakiwa ni products za UDSM +Tumaini University, nadhani wana shida katika kufikili au hawajui kufikili vizuri. Nimemsikiliza Wakili Mwabukusi, Madeleka na wengine wengi wakijenga hoja dhaifu na lenye lengo la kuleta mpasuko kwenye umoja wa Kitaifa wetu.

Eti "...Samia na Mzanzibari mwenzake Profesa Mbarawa wameuza Bandari za Tanganyika...", ujinga wa viwango vya juu sana sana.

Hivi nani ambaye anaamua wapi awekeze? Ni Mwekezaji au ni Mh. Rais Samia? Mwekezaji yoyote serious ufanya visibility study ya mradi anaotaka kuwekeza na kuona returns on investment itarudi lini na kwa kiwango gani. Hivi Bandari zipi zipo more economically vissible kati ya Bandari ya Dar es Salaam au Bandari za pale Zanzibar?

Bandari zote za bara kwa maana ya Dar, Tanga na Mtwara + Bandari za Maziwa zina fursa kubwa zaidi za biashara kuliko Bandari za Zanzibar. Dar Port inazungukwa na nchi zaidi ya nane like Malawi, DRC, Rwanda, Zambia, Zimbabwe, Uganda.

Bandari ya Dar inahudumia almost soko la watu milioni 400 mpaka 500 wakati Bandar za Zanzibar zinahudumia soko watu si zaidi ya milioni tano. Sasa Mwabukusi alitaka Investor achague Bandari za Zanzibar? Ukichaa wa viwango vya juu huu wa Mawakili wetu.

Ziwa Nyasa linabeba soko la Malawi na Msumbiji, Victoria inabeba soko la Uganda, Kenya na Tanzania, Ziwa Tanganyika linabeba soko la DRC Nchi ya pili kwa Population na ukubwa wa eneo Afrika, sasa Mawakili wa mchongo ambao hawajui hata hesabu za kiuwekezaji walitaka DP World achague Bandari za Zanzibar? Wameamua kujitekenya na kucheka wenyewe.

Investor yoyote serious hata kama sio Mwarabu ni lazima angechagua Bandari za Bara zaidi sababu ya Geopolitical - economic opportunities ambazo Bandari za Bara zinakupa.

Decision ya wapi niwekeze ni ya Mwekezaji na sio decision ya Mama Samia na Mbarawa wala sio decision ya Mwabukusi na Madeleka.

Huu uwakili wa kutaka kupata political maleage utaisha lini?

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Faizafox na the Boss wameonekana kupwaya katika propaganda za kutetea uuzwaji wa Bandari.

Naona wamejichanganya wakadhani wewe ndo una akili. Wewe ndo uchafu kabisa ni heri hata ya Mpemba bi Faiza.

Wewe ni KENGE
 
Mawakili wa Profesa Kabudi wengi wao wakiwa ni products za UDSM +Tumaini University, nadhani wana shida katika kufikili au hawajui kufikili vizuri. Nimemsikiliza Wakili Mwabukusi, Madeleka na wengine wengi wakijenga hoja dhaifu na lenye lengo la kuleta mpasuko kwenye umoja wa Kitaifa wetu.

Eti "...Samia na Mzanzibari mwenzake Profesa Mbarawa wameuza Bandari za Tanganyika...", ujinga wa viwango vya juu sana sana.

Hivi nani ambaye anaamua wapi awekeze? Ni Mwekezaji au ni Mh. Rais Samia? Mwekezaji yoyote serious ufanya visibility study ya mradi anaotaka kuwekeza na kuona returns on investment itarudi lini na kwa kiwango gani. Hivi Bandari zipi zipo more economically vissible kati ya Bandari ya Dar es Salaam au Bandari za pale Zanzibar?

Bandari zote za bara kwa maana ya Dar, Tanga na Mtwara + Bandari za Maziwa zina fursa kubwa zaidi za biashara kuliko Bandari za Zanzibar. Dar Port inazungukwa na nchi zaidi ya nane like Malawi, DRC, Rwanda, Zambia, Zimbabwe, Uganda.

Bandari ya Dar inahudumia almost soko la watu milioni 400 mpaka 500 wakati Bandar za Zanzibar zinahudumia soko watu si zaidi ya milioni tano. Sasa Mwabukusi alitaka Investor achague Bandari za Zanzibar? Ukichaa wa viwango vya juu huu wa Mawakili wetu.

Ziwa Nyasa linabeba soko la Malawi na Msumbiji, Victoria inabeba soko la Uganda, Kenya na Tanzania, Ziwa Tanganyika linabeba soko la DRC Nchi ya pili kwa Population na ukubwa wa eneo Afrika, sasa Mawakili wa mchongo ambao hawajui hata hesabu za kiuwekezaji walitaka DP World achague Bandari za Zanzibar? Wameamua kujitekenya na kucheka wenyewe.

Investor yoyote serious hata kama sio Mwarabu ni lazima angechagua Bandari za Bara zaidi sababu ya Geopolitical - economic opportunities ambazo Bandari za Bara zinakupa.

Decision ya wapi niwekeze ni ya Mwekezaji na sio decision ya Mama Samia na Mbarawa wala sio decision ya Mwabukusi na Madeleka.

Huu uwakili wa kutaka kupata political maleage utaisha lini?

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Kwahiyo mwekezaji akitaka kuwekeza ikulu utampa tu kiboya boya kwa vile yeye kaamua.
 
Wewe ng'ombe kabisa. Kwahiyo mwekezaji akiamua kuwa anataka bandari zote za Tanganyika ndio kigezo cha kumkubalia kuwa chukua tu?

Hauoni kuwa hilo ndio linalalamikiwa?? Una surrender bandari zote za nchi yako kwa mwekezaji mmoja tena wa nje? Hizo ni akili au matope? Kwa masharti ya kijinga yasiyo na kikomo. Kwa mkataba wa kihuni uliosainiwa na CEO wa kampuni badala ya nchi husika.

Pumbavu kabisa.
 
Mawakili wanajua ulichoandika, sema njaa ndo inawasumbua na ukizingatia kile kichaka chao pale bandarini kinakwenda kutokomezwa mazima.
 
Mawakili wa Profesa Kabudi wengi wao wakiwa ni products za UDSM +Tumaini University, nadhani wana shida katika kufikili au hawajui kufikili vizuri. Nimemsikiliza Wakili Mwabukusi, Madeleka na wengine wengi wakijenga hoja dhaifu na lenye lengo la kuleta mpasuko kwenye umoja wa Kitaifa wetu.

Eti "...Samia na Mzanzibari mwenzake Profesa Mbarawa wameuza Bandari za Tanganyika...", ujinga wa viwango vya juu sana sana.

Hivi nani ambaye anaamua wapi awekeze? Ni Mwekezaji au ni Mh. Rais Samia? Mwekezaji yoyote serious ufanya visibility study ya mradi anaotaka kuwekeza na kuona returns on investment itarudi lini na kwa kiwango gani. Hivi Bandari zipi zipo more economically vissible kati ya Bandari ya Dar es Salaam au Bandari za pale Zanzibar?

Bandari zote za bara kwa maana ya Dar, Tanga na Mtwara + Bandari za Maziwa zina fursa kubwa zaidi za biashara kuliko Bandari za Zanzibar. Dar Port inazungukwa na nchi zaidi ya nane like Malawi, DRC, Rwanda, Zambia, Zimbabwe, Uganda.

Bandari ya Dar inahudumia almost soko la watu milioni 400 mpaka 500 wakati Bandar za Zanzibar zinahudumia soko watu si zaidi ya milioni tano. Sasa Mwabukusi alitaka Investor achague Bandari za Zanzibar? Ukichaa wa viwango vya juu huu wa Mawakili wetu.

Ziwa Nyasa linabeba soko la Malawi na Msumbiji, Victoria inabeba soko la Uganda, Kenya na Tanzania, Ziwa Tanganyika linabeba soko la DRC Nchi ya pili kwa Population na ukubwa wa eneo Afrika, sasa Mawakili wa mchongo ambao hawajui hata hesabu za kiuwekezaji walitaka DP World achague Bandari za Zanzibar? Wameamua kujitekenya na kucheka wenyewe.

Investor yoyote serious hata kama sio Mwarabu ni lazima angechagua Bandari za Bara zaidi sababu ya Geopolitical - economic opportunities ambazo Bandari za Bara zinakupa.

Decision ya wapi niwekeze ni ya Mwekezaji na sio decision ya Mama Samia na Mbarawa wala sio decision ya Mwabukusi na Madeleka.

Huu uwakili wa kutaka kupata political maleage utaisha lini?

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Na kweli kama unazungumzia "visibility study kuhusu mkataba wa bandari" wewe unajua zaidi!!
 
Mawakili wa Profesa Kabudi wengi wao wakiwa ni products za UDSM +Tumaini University, nadhani wana shida katika kufikili au hawajui kufikili vizuri. Nimemsikiliza Wakili Mwabukusi, Madeleka na wengine wengi wakijenga hoja dhaifu na lenye lengo la kuleta mpasuko kwenye umoja wa Kitaifa wetu.

Eti "...Samia na Mzanzibari mwenzake Profesa Mbarawa wameuza Bandari za Tanganyika...", ujinga wa viwango vya juu sana sana.

Hivi nani ambaye anaamua wapi awekeze? Ni Mwekezaji au ni Mh. Rais Samia? Mwekezaji yoyote serious ufanya visibility study ya mradi anaotaka kuwekeza na kuona returns on investment itarudi lini na kwa kiwango gani. Hivi Bandari zipi zipo more economically vissible kati ya Bandari ya Dar es Salaam au Bandari za pale Zanzibar?

Bandari zote za bara kwa maana ya Dar, Tanga na Mtwara + Bandari za Maziwa zina fursa kubwa zaidi za biashara kuliko Bandari za Zanzibar. Dar Port inazungukwa na nchi zaidi ya nane like Malawi, DRC, Rwanda, Zambia, Zimbabwe, Uganda.

Bandari ya Dar inahudumia almost soko la watu milioni 400 mpaka 500 wakati Bandar za Zanzibar zinahudumia soko watu si zaidi ya milioni tano. Sasa Mwabukusi alitaka Investor achague Bandari za Zanzibar? Ukichaa wa viwango vya juu huu wa Mawakili wetu.

Ziwa Nyasa linabeba soko la Malawi na Msumbiji, Victoria inabeba soko la Uganda, Kenya na Tanzania, Ziwa Tanganyika linabeba soko la DRC Nchi ya pili kwa Population na ukubwa wa eneo Afrika, sasa Mawakili wa mchongo ambao hawajui hata hesabu za kiuwekezaji walitaka DP World achague Bandari za Zanzibar? Wameamua kujitekenya na kucheka wenyewe.

Investor yoyote serious hata kama sio Mwarabu ni lazima angechagua Bandari za Bara zaidi sababu ya Geopolitical - economic opportunities ambazo Bandari za Bara zinakupa.

Decision ya wapi niwekeze ni ya Mwekezaji na sio decision ya Mama Samia na Mbarawa wala sio decision ya Mwabukusi na Madeleka.

Huu uwakili wa kutaka kupata political maleage utaisha lini?

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Mwekezaji anamiliki mzigo wa Congo na Rwanda na ameshasaini mikataba kote huko. Hana anachokitafuta Zanzibar.

Na hata kama angekuwa anatafuta kitu huko basi biashara yake isingekuwa na uhusiano wa moja kwa moja na bandari ya TPA, angekuwa na aina ya usafirishaji wa kuchukua mzigo na kuondoka juu kwa juu bila ya kupitia bandari yetu.

Pia Zanzibar walishafanya uwekezaji kama huu wa DP katika bandari yao ya Mpigaduru mwaka jana. Ni maneno ya kibaguzi yanayojaribu kumbagua Rais SSH na waziri wake Mbarawa ili kuhamisha hoja kutoka kuihusu DP na wanachotaka kufanya na kuipeleka kwenye haiba binafsi za watu.
 
Nimecheka sana, kama ww ndio umandika hivi . Hii nchi ina safari ndefu sana
Tangu tarehe nane desemba sitini na moja nchi hii ipo chini ya ulinzi mpana wa kiroho, wanaanzisha chokochoko kina Waziri Malima na wanaondoka wao, wanaanzisha chokochoko wanasiasa wengine na wanaondoka wao wakiiacha TZ inaendelea kudumu na amani yake.
 
Tanzania iliwekwa chini ya ulinzi wa Mama Bikira Maria usiku mmoja kabla ya siku ya uhuru mwaka sitini na moja.

Ina ulinzi wa kiroho tena mkubwa sana, hawa kina Mwabukusi na wasomi wengine wanaopiga kelele miaka ya sasa ni sehemu tu ya vitu tunavyoweza kuvitawala kama taifa.

Huyo Mwanasheria ashukuru tu Mungu anapiga domo miaka hii yenye demokrasia aliyoileta Rais Samia, vinginevyo angekuwa katika wakati mgumu sana miaka ile ya RIP Magufuli.
Pumzi imekata. Endelee kuwalia posho zao waarabu
 
Mwekezaji anamiliki mzigo wa Congo na Rwanda na ameshasaini mikataba kote huko. Hana anachokitafuta Zanzibar.

Na hata kama angekuwa anatafuta kitu huko basi biashara yake isingekuwa na uhusiano wa moja kwa moja na bandari ya TPA, angekuwa na aina ya usafirishaji wa kuchukua mzigo na kuondoka juu kwa juu bila ya kupitia bandari yetu.

Pia Zanzibar walishafanya uwekezaji kama huu wa DP katika bandari yao ya Mpigaduru mwaka jana. Ni maneno ya kibaguzi yanayojaribu kumbagua Rais SSH na waziri wake Mbarawa ili kuhamisha hoja kutoka kuihusu DP na wanachotaka kufanya na kuipeleka kwenye haiba binafsi za watu.
Kwahiyo hiyo Bandari ya Mpigaduru ndiyo ina mizigo mingi? Naona vijana wenye akili wamewaelewa Watanganyika, mmebaki wajinga wachache tu
 
Tangu tarehe nane desemba sitini na moja nchi hii ipo chini ya ulinzi mpana wa kiroho, wanaanzisha chokochoko kina Waziri Malima na wanaondoka wao, wanaanzisha chokochoko wanasiasa wengine na wanaondoka wao wakiiacha TZ inaendelea kudumu na amani yake.

Its sad ukosoaji unaitwa choko choko, it sad hujui historia ya hii nchi before uhuru kabla ya uhuru.
Unadhani hiki ulicholichokitaja ndio kinalinda nchi think again
 
Back
Top Bottom