Mwekezaji kisarawe-atesa wanakijiji

engmtolera

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
5,150
1,437
kama kawaida wawekezaji wanapo ingia nchini wanakuja wakiwa wameinama na ahadi kibao,lakini wakisha kubaliwa matakwa yao wanaanza kutoa makucha yao wakishirikiana na wazawa

mwekezaji wa mmea wa jatropa hapo kisarawe hajatimiza zile ahadi alizozitoa kwa wananchi husika na kuaamuwa kuwafukuza kazi wale wote walioonekana wanahoji swala hilo

si hivyo tu lakini hata madawa ayatumiayo kwa ajili ya mmea huo yamekuwa ni sumu inayouwa kinyemela wale wote walioshiriki kufanya kazi ktk shamba hilo

hii ni hatari sana kwa wawekezaji kama hawa kuendelea kuwanyanyasa wazawa kana kwamba hawana haki ya kuishi ktk nchi yao walipozaliwa

some times huwa namkubali sana mgabe,yeye bwana hawabembelezi hawajamaaa,na hii imesaidia kwa wananchi wa zimbabwe kufaidi maudhui ya uwekezaji

mateso haya mpaka lini?
 
Mkuu wewe mgeni na nchi hii.
Hakuna watu wavivu kama watu wa sehemu hizi za pwani, akiingia muwekezaji basi kulima ni mwisho.
Kila kitu ndo anabambikwa hata kabla mradi wenyewe haujaanza kujibu.
Mtu makini ataiga yale anayofanya mwekezaji ili akiondoka naye afanye mradi unaolingana
 
Mkuu wewe mgeni na nchi hii.
Hakuna watu wavivu kama watu wa sehemu hizi za pwani, akiingia muwekezaji basi kulima ni mwisho.
Kila kitu ndo anabambikwa hata kabla mradi wenyewe haujaanza kujibu.
Mtu makini ataiga yale anayofanya mwekezaji ili akiondoka naye afanye mradi unaolingana

Babu wee! Pangu kapavu
 
Umelalama weeeeeeeee lakini hujaiambia jf namna muwekezaji anavyonyanyasa watu, toa maelezo ili great thinkers waweze kujadiri.
kama kawaida wawekezaji wanapo ingia nchini wanakuja wakiwa wameinama na ahadi kibao,lakini wakisha kubaliwa matakwa yao wanaanza kutoa makucha yao wakishirikiana na wazawa

mwekezaji wa mmea wa jatropa hapo kisarawe hajatimiza zile ahadi alizozitoa kwa wananchi husika na kuaamuwa kuwafukuza kazi wale wote walioonekana wanahoji swala hilo

si hivyo tu lakini hata madawa ayatumiayo kwa ajili ya mmea huo yamekuwa ni sumu inayouwa kinyemela wale wote walioshiriki kufanya kazi ktk shamba hilo

hii ni hatari sana kwa wawekezaji kama hawa kuendelea kuwanyanyasa wazawa kana kwamba hawana haki ya kuishi ktk nchi yao walipozaliwa

some times huwa namkubali sana mgabe,yeye bwana hawabembelezi hawajamaaa,na hii imesaidia kwa wananchi wa zimbabwe kufaidi maudhui ya uwekezaji

mateso haya mpaka lini?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom