engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
kama kawaida wawekezaji wanapo ingia nchini wanakuja wakiwa wameinama na ahadi kibao,lakini wakisha kubaliwa matakwa yao wanaanza kutoa makucha yao wakishirikiana na wazawa
mwekezaji wa mmea wa jatropa hapo kisarawe hajatimiza zile ahadi alizozitoa kwa wananchi husika na kuaamuwa kuwafukuza kazi wale wote walioonekana wanahoji swala hilo
si hivyo tu lakini hata madawa ayatumiayo kwa ajili ya mmea huo yamekuwa ni sumu inayouwa kinyemela wale wote walioshiriki kufanya kazi ktk shamba hilo
hii ni hatari sana kwa wawekezaji kama hawa kuendelea kuwanyanyasa wazawa kana kwamba hawana haki ya kuishi ktk nchi yao walipozaliwa
some times huwa namkubali sana mgabe,yeye bwana hawabembelezi hawajamaaa,na hii imesaidia kwa wananchi wa zimbabwe kufaidi maudhui ya uwekezaji
mateso haya mpaka lini?
mwekezaji wa mmea wa jatropa hapo kisarawe hajatimiza zile ahadi alizozitoa kwa wananchi husika na kuaamuwa kuwafukuza kazi wale wote walioonekana wanahoji swala hilo
si hivyo tu lakini hata madawa ayatumiayo kwa ajili ya mmea huo yamekuwa ni sumu inayouwa kinyemela wale wote walioshiriki kufanya kazi ktk shamba hilo
hii ni hatari sana kwa wawekezaji kama hawa kuendelea kuwanyanyasa wazawa kana kwamba hawana haki ya kuishi ktk nchi yao walipozaliwa
some times huwa namkubali sana mgabe,yeye bwana hawabembelezi hawajamaaa,na hii imesaidia kwa wananchi wa zimbabwe kufaidi maudhui ya uwekezaji
mateso haya mpaka lini?