Mwanza: Wafuasi CHADEMA waliokamatwa msibani kupandishwa kizimbani

Bavicha bwana ! Watu 500 kwenda kuhani msiba is it possible? Walijiorganize vp?
Kwani msiba huwa unakuwa na kiwango cha watu kuhudhuria. Sasa kama ni mwanachama nwenzao kuna ubaya gani kuhimizana kwenda kwenye msiba wa mwenzao? Hata CCM nao si wanaweza kufanya hivyo? Kosa liko wapi?
 
kuhani msiba ni kosa! au kuna tatizo jingine zaidi ya kuhani msiba?
 
Pole pole huwa anafanya nini? Hamkumbuki majuzi tu hapa walikuwa na bongeeeeeeee la mkutano wakajaza kirumba na wakapewa ulizi,
Hii double standard mkija baadae kufanyiwa msilie kama mugabe
 
Daaaah jamani watanzania tumwombee RAISI wetu huenda mambo yakawa kama tunavyotaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…