Mwanza: Vivuko viwili vyasimamishwa

Kumbe bado tuna watu wenye akili na busara TZ. Huyu Waitara ni mmoja wao

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Wewe hujui kitu kuhusu uendeshaji wa hivyo vivuko. Huwezi ukaendesha kivuko bila service wala wafanyakazi wenye sifa. Likitokea la kutokea mtaanza kulaumu serikali. Pale kuna vivuko vya Kitano hakuna tatizo lolote.
 
Sarikali ingesaidiana na mmiliki kufuta suruhu ili watu wahudumiwe. Mbona sababu zenyewe ni za kawaida. We hujaona vyombo vinavyomilikiwa na serikali vinaua. Mv Bukoba!
Pia kivuko cha Nyakaliro-kome(kisiwani) ni kibovu na hatari zaid Tanzania lakini bado kinapga kazi sembuse kamanga ferry?
Mwita waitara ni mlevi tena wa pombe kali
 
Wewe hujui kitu kuhusu uendeshaji wa hivyo vivuko. Huwezi ukaendesha kivuko bila service wala wafanyakazi wenye sifa. Likitokea la kutokea mtaanza kulaumu serikali. Pale kuna vivuko vya Kitano hakuna tatizo lolote.
Pole.
Siku moja utatoka usingizini
 
Wewe hujui kitu kuhusu uendeshaji wa hivyo vivuko. Huwezi ukaendesha kivuko bila service wala wafanyakazi wenye sifa. Likitokea la kutokea mtaanza kulaumu serikali. Pale kuna vivuko vya Kitano hakuna tatizo lolote.
Unaonekana hujui chochote kabisa
 
Duuuh!!! Hawa ndio wa tz. Taratibu zikifuatwa wanalalamia,zisipofuatwa wanalalama!!! Ni bora mussolini angekuwa rais wa nchi yetu tungekaa wote mstari mmoja ulionyooka kama rula hakuna fyuu wala swiii!!
 
Sarikali ingesaidiana na mmiliki kufuta suruhu ili watu wahudumiwe. Mbona sababu zenyewe ni za kawaida. We hujaona vyombo vinavyomilikiwa na serikali vinaua. Mv Bukoba!
Hiyohiyo mv bukoba ndio ilitupa fundisho. Wakae watafute suluhu!?!?! Taratibu zinajulikana naamini mmiliki anazijua ila ni ukaidi tu!! Ndugu yangu vyombo vya usafiri wa majini vina standards za kufuata kimataifa na zetu,serikali haiwezi kuweka rehani maisha ya watu wake simply coz taratibu hazikufutwa. Alternative zipo nyehunge ferries na kigongo busisi
 
Duuuh!!! Hawa ndio wa tz. Taratibu zikifuatwa wanalalamia,zisipofuatwa wanalalama!!! Ni bora mussolini angekuwa rais wa nchi yetu tungekaa wote mstari mmoja ulionyooka kama rula hakuna fyuu wala swiii!!
Pole.
Hujui uliandikalo
 
Pole
 
Acha propaganda wewe mbona vya kule ziwa nyasa vimeondolewa majini!?! Maisha ya ndiyo first priority ya serikali yoyote duniani
 
Hii isue imekaa kifigisu figisu zaidi ya uhalisia wake, yaani waitara amekutana na kukaa na ‘uncle’ wake kitana wakaandika hukumu yao kwa kamanga ferry,
 
Pole.
Hujui uliandikalo
liseme tulielewe kama waziri kaomba rushwa thibitisha humu,cc tunafuata sababu zilizotolewa na ni za kisheria, sasa wewe kama una kitu unakijua kilicho chini ya zulia ungekieleza hapa na kama hakiwezi kuelezeka hapa usingeleta kabisa hoja yako hapa maana hili ni jamvi la udadisi
 
Karukwaa mtu hapo

Tupeleke dreamliner jaman ivushe wale........

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…