Mwanza to Dsm

Kati ya mabasi said ya 40 kutoka mwanza au yanayopitia Mwanza umeona la Ally's tu? Halafu basi zenu zina mwendo mkali na rafu nyingi sana barabarani. Waonyeni madereva wenu waache hizo tabia.

Mimi ni mteja wenu sugu, natarajia kuzikacha.
Tajiri Yahya anapenda sana gari zake ziwe za kwanza kufika Mwanza na mara nyingi huwa anawalinda madereva hata wakicheza rafu.
 
Kati ya mabasi said ya 40 kutoka mwanza au yanayopitia Mwanza umeona la Ally's tu? Halafu basi zenu zina mwendo mkali na rafu nyingi sana barabarani. Waonyeni madereva wenu waache hizo tabia.

Mimi ni mteja wenu sugu, natarajia kuzikacha.
Basi zote siku hizi zinakimbia hii ni kutokana na engine tech...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…