Mwanza Mwanza Natafuta Chumba!

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,146
Reaction score
7,683
Habari.....nipo Dar natarajia kwenda Mwanza kwa ajili ya Field kwa muda wa miezi miwili sina ndugu sina Jamaa wala Rafiki Mwanza nahitaji chumba ambacho nkitakuwa na kila kitu kwa bei nafuu....Cha kuishi kwa muda wa miezi 2...

Kiwe self....kiwe na Kitanda godoro na kila kitu niwe naweza kupika...nisipate tabu ya kuanza kununua vifaa vingine mimi iwe ni kutafuta chakula tuu kama kwa kupika au Lah....iwe karibu na Bugando au Seketule....Please nahitaji msaada wenu
 
Usipende mtelemko kijana utaolewa
 
Kama we mwanmke nitafte nikupe bure chumba

Njoo upange kwetu 1km from BMC, ni uswahilini gari linaweza fika mpaka mlamgoni kabisa chumba sio self lakini kuna choo cha nje na bafu ambavyo huta changia na mtu yeyote.

kitanda 4x6, godoro, sofa, tv flat, jiko la gas na mtungi wake, vyombo vichachache vya kupikia, chumba nicha kisasa kabisa kuanzia flor, mlango, dirisha, dari na ukuta. Bei kwa mwezi ni sh laki 6 na unalipia kwa mkupuo miezi yote miwili 1.2 m.

Lakini pia kuna ghorofa karibu na hospital ya mkoa vyumba vyake vinasifa hizo unazotaka bei yake ni 1.2 kwa mwezi chumba, sebule, store, jiko na choo. karibu Mwanza.
 
Ukifika piga number 0766195115 utapata chumba unahitaji
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…