HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,376
- 94,570
kwa muonekano hawa sidhani kama ni majambazi kama siyo vibaka. Hawa polisi sasa naona wameamua kuua watu kiholela.Watu nane wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wameuawa usiku wa kuamkia leo katika kisiwa cha Ukerewe jijini Mwanza kwenye majibizano ya risasi na Jeshi la polisi.
"Kikosi jasiri kimepambana ana kwa ana na majambazi yapatayo 10, katika mapambano hayo katika eneo la kwanza walifanikiwa kuua majambazi watano, waliwapekuwa na kuwakuta na silaa na mali walizopora," amesema Kamanda Mkoa wa Mwanza, Janathan Shana.
Ameendelea kwa kusema katika tukio lingine ambapo walipatiwa taarifa na dereva bodaboda walifanikiwa kuwaua majambazi watu na wawili walifanikiwa kukimbia.View attachment 1005370
ww ni mpumbavu wa kiasi gani huelewi jambo dogo lisilohitaji degree?kwa muonekano hawa sidhani kama ni majambazi kama siyo vibaka. Hawa polisi sasa naona wameamua kuua watu kiholela.
kwa akili yako fupi watu wanajibizana risasi na polisi ulitaka wawachekee au watafute ushahidi gani kujiridhisha ni majambazi?Tumesikia upande mmoja, wapili bado! Kuna ushahidi gani kuwa walikuwa majambazi?
Tulia kaka mbona unahamaki? Una ushahidi gani kama hilo lilitokea?ww ni mpumbavu wa kiasi gani huelewi jambo dogo lisilohitaji degree?
HIVI KAMA WATU WAMEONYESHA REACTION YA KUJIBIZANA RISASI NA POLISI, ulitaka hadi wakutie risasi ndio useme kweli ni majambazi
Kuna ushahidi mzuri ambao wangekuwa wanapongezana walivyowapapua wavuja jasho huku wakiwa na vinywaj vya pale Iloganzala au kule Igoma, tena wakiwa Vilapack,Diamond au hata Malaika wangeenda! "Kwangu mie ni bora umuue asiyestahili kuliko kumwacha jambazi abaki na roho yake" haki za binadam n co povu ruksa!Tumesikia upande mmoja, wapili bado! Kuna ushahidi gani kuwa walikuwa majambazi?
Siku mama yako akimwagwa utumbo kwa kuhofiwa ni jambazi utajua kwanini kuna umuhimu wa kuthibitisha ikiwa mshukiwa ni jambazi kweli au Lah.Siku mama yako akimwagwa utumbo na majambazi utaelewa maana ya jeshi la polisi na utajua umuhimu wao... hata raia wa kenya walikuwa wakiwadharau hivi lakini baada ya matukio fulani wameanza kuwaheshimu