MfalmewaKiha
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 1,191
- 1,231
Hata miaka 1000 haitatokeaoya acha kufananisha kitongoji hicho cha arusha na jiji utachekwa labda umefikia magu ndo unasema mwanza mwanza miaka mitano ijayoitakuwa kama dar
Mwanza ni kijijiArusha bado sana labda muunganishe na moshi dodoma na tanga pamoja na hiyo arusha yenu ndo mlifikie jiji la Mwanza
Hujielewi wewe..kama hujajua upite wapi tunakuomba kukikucha alfajili songesha pale Nyegezi stand au Buzuruga stand,panda bus la kijijini kwako utupishe.Wadau habari za jioni!
Tangu jana niko kwwnye mji ambao wengi wanauita Rock City, ama kweli ni jiji la miamba tu halina lolote
Lengo lengo langu hasa hapa nilikuja kutafuta Vitendea kazi ikiwa ni pamoja na kutafuta Video Camera na vifaa vingine, cha ajabu maduka MWANZA hakuna hata Duka la vifaa hivyo vidogo ktk maisha
Nyie wasukuma watani zangu msirudie hata kulinganisha mwanza Na Arusha pls.