Wadanganyika wanakuambia Dar ndio Tanzania, na serikali inavyojua kuwafanya watu wa mikoani wajione dhaifu utasikia Dar inaongoza kwa mapato ya TRA kwa zaidi ya asilimia 80% hapo mtu wa mikoani lazima utulie, watu hawajui haya mapato ya Dar chanzo chake ni huko mikoani na uchumi wa Tanzania umeelekezwa Dar, kil kitu unacholipia iwe vocha, brela, n.k mapato yanahesabiwa Dar.Inaudhi San ndo Maan Kenya wanatuchek tz Mombasa being second city utashngaa kisumu it's way better kw maendeleo lkn sis tupo na city moja dar afu kwngne n seem ya siasa tu sjui n msoga gang au n nin hawatak seem zingne ziendelee kuhamish tu mji kwend Dom ulikua Kaz wanatak only dar na lkn pia nahis kun mambo ya ukanda na uchama tatzo kubw lipo hapo
Nachukizwa sana na haya mambo ya viongozi kuona Dar ni special mji hapa nchini, na vijana wanaendelea kucheza mlemle utasikia kijana anakwambia Dsm ni jiji la kibiashara, kwani miji mingine hawafanyi biashara au miji mingine ni wakulima? Hii mindset inatakiwa kutokomezwa,, na ili iondoke vichwani mwa vijana, Miji kama mwanza, Mbeya na Arusha ijengewe miundombinu bora kama iliyoko huko Dsm, ili ifikie hatua mtu aliyeko dsm na mwanza asione utofauti,Wadanganyika wanakuambia Dar ndio Tanzania, na serikali inavyojua kuwafanya watu wa mikoani wajione dhaifu utasikia Dar inaongoza kwa mapato ya TRA kwa zaidi ya asilimia 80% hapo mtu wa mikoani lazima utulie, watu hawajui haya mapato ya Dar chanzo chake ni huko mikoani na uchumi wa Tanzania umeelekezwa Dar, kil kitu unacholipia iwe vocha, brela, n.k mapato yanahesabiwa Dar.
Jengo lipo wapi hili mkuu nikaombe kazi ya kibarua?.
Mkuu hili jengo linajengwa hospital ya Mkoa?. Na vipi kuhusu vibarua wameanza kubeba nataka kwenda kutafuta kazi yoyote ile hata kubeba zege tu.View attachment 2824346upcoming... Jengo jipya hosptal ya nyamagana
Mkuu samahani tena hii picha ya mwisho Ili jengo lipo kama unaenda wapi?
Ukitoka malaika beach kama unaenda huko ilemela kwatunza.Mkuu samahani tena hii picha ya mwisho Ili jengo lipo kama unaenda wapi?
Bado linajengwa mkuu?Ukitoka malaika beach kama unaenda huko ilemela kwatunza.
Linajengwa au ulizani limeachwa kuwa gofu au pagale😂😂😂Bado linajengwa mkuu?
Jengo la DIT, IlemelaJengo lipo wapi hili mkuu nikaombe kazi ya kibarua?.
Too sad 😔 bilion 9!...kwa huo mradi lakn wameshazoea lakn wameizoe mwanza kufny ivo miak yote km umefatilia mwanz inachkuliwa bei rahis San nadhn wanajua wana mwanz n wapole wanaon kitu kidog watardhika hawan exposure viongoz hawan shida sio wasemaje na watu hawatafatilia coz movement za watu ukiacha Kanda ya ziwa na mikoa jiran sio kubw na viongoz wengne hawaj mara kw mara so haitokua shida wakiipiga hiyo mirad na hamn wa kusem...sjui kwann hawatak kujenga vitu vya miak ming na kupendezesh jiji.. Eng Robert aliwah kusemea hilo wanajenga vimajengo ilimradi Tu wamejenga mfno airport shule za katkat ya jiji km pamba soko kuu na hata sgr station mpya render yake lakn huo ujinga hawawez fanya darWakuu hivi hizi pesa za miradi na miradi yenyewe je zinaendana au tunapigwa, jengo la thamani ya bilion 9 la serikali mtu binafsi anaweza kulijenga kwa milion 540 huu wizi, ubadhirifu wa mali ya umma utaisha lini miradi ya world bank hasa huu mradi ya tactic umegubikwa na ufisadi mkubwa, mfano mradi wa soko la samaki mkuyuni ni bilion 9 lakini hii render haina tofauti na banda la kufugia kuku, tofauti yake na banda la kufugia kuku wa kizungu ni ka sanamu ka samaki ambako gharama yake haizidi 30 milion, ilo jengo wangenip mimi ningejeka kwa bilion moja na chenji ikabaki, inauma sna tunashida ya barabara, madaraja na makalvat watu wanataka kutupiga bilion 9 kwa banda la kuku huku watu wakikenua meno nje bila kuangalia thamani halisi ya mradi.
Nipeni tofauti ya hii miradi mmoja ni bilion 9 na mwingine milion 540 na ina kaghorofa na hiyo ya bilion 9 ni banda na hakuna hata floor moja ya ghorofa
View attachment 2890564
Na huu mradi wa mh Maboto wa milion 540 utofauti upo wapi?
View attachment 2890570
Soko kuu katkat ya jiji haikua fair kbsa japo maguful ndo aliktaa though jiji ilipendekez gorof Sita, masoko yote yanayopangw kujengw yatakua ovyo tu include mkuyuni, stend ya nyegez haikupsw kujenga vile ndogo na eneo finyu, jengo la Bot haikua render yake, mwausa, sgr station katkat ya jiji na ile render km mwanvuli, daraja la mabatin na mengne ming isngepsw kujengw vile km second largest city ten inayokua kwa kasi it's shame nchi wala haiwez kuendelea kw ivo wanajenga kam wilaya za vijijin wakt n jiji afu tushindane na majiji mengne kimataifa!! Lol 😂Too sad 😔 bilion 9!...kwa huo mradi lakn wameshazoea lakn wameizoe mwanza kufny ivo miak yote km umefatilia mwanz inachkuliwa bei rahis San nadhn wanajua wana mwanz n wapole wanaon kitu kidog watardhika hawan exposure viongoz hawan shida sio wasemaje na watu hawatafatilia coz movement za watu ukiacha Kanda ya ziwa na mikoa jiran sio kubw na viongoz wengne hawaj mara kw mara so haitokua shida wakiipiga hiyo mirad na hamn wa kusem...sjui kwann hawatak kujenga vitu vya miak ming na kupendezesh jiji.. Eng Robert aliwah kusemea hilo wanajenga vimajengo ilimradi Tu wamejenga mfno airport shule za katkat ya jiji km pamba soko kuu na hata sgr station mpya render yake lakn huo ujinga hawawez fanya dar
Kamanga hospital nyegezi 11f
Pansiasi moja hiyo!
Mwanz university ipo mtaa ganSubirieni mwaka huu kuna ten floor inanyanyuka pale mwanza University na eleven floor pia pale souk our toure hospital