Bara bara ya airport ina ushua mwingi , kama Una pesa mingi , nenda kajenge Bwiru , kuna ushua flan Bwiru wa ukweli Sana , watu wapo civilized Sana aisee, sababu kuu naona uwepo wa ardhi oevu (yenye maji maji ) hvyo kufanya hewa iwe Safi na ya kuvutia , pia uwepo wa upepo mwanana wa ziwa , na pia ardhi tambarare Kwa kias fulan , kufikia Kwa Urahs city center , na pia eneo limezungukwa na huduma zote mhimu , kama sehemu za starehe , beaches, mahotel mazuri , airport, masoko , michezo n.k na hvyo watu wenye nazo kuvutiwa na hlo eneo, kiufupi tuu hakuna eneo Tamu kama Bwiru, daah basi Tu hi utafutaji Ila ingekuwa naishi mwanza ningepambana nipate plot BwiruKule bwiru mwenyekiti wao na diwani wao na serikali ya bwiru ilishazuia ujenzi wa nyumba za kawaida huko lazim ujenge ghorofa, sio porojo na huu ndio ukweli kamanda wala sio blah blah.
Sio Mwanza tu hapa Tanzania nzima hakuna eneo tamu na zuri kama bwiru sema umaskini tu asee.Bara bara ya airport ina ushua mwingi , kama Una pesa mingi , nenda kajenge Bwiru , kuna ushua flan Bwiru wa ukweli Sana , watu wapo civilized Sana aisee, sababu kuu naona uwepo wa ardhi oevu (yenye maji maji ) hvyo kufanya hewa iwe Safi na ya kuvutia , pia uwepo wa upepo mwanana wa ziwa , na pia ardhi tambarare Kwa kias fulan , kufikia Kwa Urahs city center , na pia eneo limezungukwa na huduma zote mhimu , kama sehemu za starehe , beaches, mahotel mazuri , airport, masoko , michezo n.k na hvyo watu wenye nazo kuvutiwa na hlo eneo, kiufupi tuu hakuna eneo Tamu kama Bwiru, daah basi Tu hi utafutaji Ila ingekuwa naishi mwanza ningepambana nipate plot Bwiru
Hapa ni ghana?? Naona kama nachanganya asee.
Wauza matunda wamerudi Tena mjini🤣🤣. Watapachafua hapo
Penyewe mkuuHapa ni ghana?? Naona kama nachanganya asee.
Ghana pamechanganya Sana aisee , pale Olympic wamezungusha sjui wanataka watoke na nini pale , karbu na sparrow hotel kuna hotel pia inainuka hyo Mitaa ,Hapa ni ghana?? Naona kama nachanganya asee.
Ilo jengwa ligeuzwe kuwa godown la mizigo au soko la samaki, hii ni aibu sana toka mwanzo nilikuwa nalipinga ilo jengo na hapo limetumia kama 9bilion lakini kiuhalisia ata 1.2bilion halifikishi, hapa rais wetu mpendwa hayati magufuli alizingua kiukweli.Mwanza Airport inamaana huu upigaji JPM hakujua hadi ana fariki kama yeye ndio alitoa maelekezo hawakuona umuhimu wowote wa kuzihusisha mamalaka japo tunajua miradi mingi kipindi cha JPM haikupitia Bungeni!!!View attachment 2455335
Ghana patapendeza sana, Mungu atupe uhai tu
Plan ya mipango miji, Ghana (Makongoro Rd) wanatoa vibali vya kurekebisha jengo tu, ujenzi wa Nyumba ya kawaida mpya marufuku ni Ghorofa.Ghana pamechanganya Sana aisee , pale Olympic wamezungusha sjui wanataka watoke na nini pale , karbu na sparrow hotel kuna hotel pia inainuka hyo Mitaa ,
Kumbe hapa ndio makao makuu ya Olympic bwana ..
HQ Tanzania nzima??? au kwa MwanzaKumbe hapa ndio makao makuu ya Olympic bwana ..
Tanzania nzima...main office ni hapo Ghana na kigamboni ..HQ Tanzania nzima??? au kwa Mwanza
Nyashishi mkuu na ujenzi upo hatua nzuri tuView attachment 2456313
Hii inajengwa wapi , ? Pale pale maeneo ya Hotel Frolida ama wapi
Architectural Design for TIA Mwanza Campus
Architectural design for Tanzania Institute of Accountancy involved the design of classes, offices, library and computer rooms.spacearchitects.co.tz
Ujenzi ushaanza kitambo sanaView attachment 2456313
Hii inajengwa wapi , ? Pale pale maeneo ya Hotel Frolida ama wapi
Architectural Design for TIA Mwanza Campus
Architectural design for Tanzania Institute of Accountancy involved the design of classes, offices, library and computer rooms.spacearchitects.co.tz