Mi nadhani Masha anataka kuwe na mtafaruku ili apeleke mapambano mahakamani maana huko ana ujuzi zaidi wa kuchakachua sheria. Ni kama ujanja wa kuzima taa uwanjani ili mechi irudiwe
kama hawajui ccm watajuta kujaribu kuchakachua matokeo, kwani masha ni kitu gani hapa nchini, ajue hatakuwa salama kwa namna yoyote, mungu atatupigania, kwani yupo upande wetu.
watu wote na waseme AMEN.
Masha si mbunge tena Nyamagana.......Wenje juuuuuu....CHADEMA juuuuuuu.....CCM chaliiiiiiii.......hongereni sana watanzania mnaohitaji mabadiliko Nyamagana na Tanzania nzima....aluta continua.....!!