Nilikua mitaa ya mwanza hotel tumeshudia show nzuri gold crest hotel hakuna uhakika inasemekana polisi walikua wanafanya mazoezi ya kuzuia ugaidi! Mabomu mazito na risasi zimepigwa! Ngoja nijaribu kuweka picha.aisee kumbe noma mlio wa bomu ukisikika fahamu ya kuchukua picha inatoka!
leo nimesikia redioni asubuhi kwamba mtuhumiwa akikubali kosa atasamehewa kupunguza gharama za kuenesha jela... matukio kama haya yatashindwaje kutokea tena???
Ni mazoezi ya anti terrolism,kuanzia tarehe 12 kuna maonyesho ya siku ya Wasiria?? nadhani kuna high profile delegation inafikia hapo,hiyo inaitwa table top simulation exercise ya terrolism