Mwandri tulia ndio demokrasia

Mwandri tulia ndio demokrasia

kitongoroso

Member
Joined
Nov 3, 2013
Posts
29
Reaction score
4
Mh mwanri aggrey mbunge jimbo la siha hatimaye amepata mpinzani wake 2015 mh meijo laizer aliyekuwa spika wa bunge la chuo kikuu cha tumaini-smmuco na kwa sasa ni mjumbe wa nec taifa ccm kupitia wilaya ya siha,kwa hali ya siasa katika wilaya siha upepo mbaya inamuelekea mh mwanri kwani kwa sasa anahofu kubwa wa kurudi bungeni katika uchaguzi mkuu ujao
 
Magamba kwa Magamba
Nikusema pombe ile ile .......
 
Wananchi wa siha wanataka mabadiliko-hawaitaki ccm tena,sasa nyie wahuni mnagombania nini ilihali hamna chenu tena?ni wakati wa cdm kuwaongoza wana siha
 
Back
Top Bottom