Mwandishi wa habari wa Nipashe Thobiasi Mwanakatwe akitoka lock up akiwa ameshika viatu vyake alikaa masaa 2 jana baada ya kupinga unyanyaswaji wa kaimu mkuu wa usalama barabarani Mbeya Henry Nguvumali
Thobias akizongwa zongwa na maafande
Hapa manjagu wakimkwida mwandishi wa Nipashe
Hapa Thobiasi akiwa tayari kupandishwa kwenye gofu kwa nguvu.
Asante Mwanakatwe, wewe ni mwanaharakati wa ukweli, hakika unamoyo wam chuma, umenivutia sana, kama kila mwanaharakati angekua na moyo kama wako mambo yangekua mazuri.