Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,949
- 4,444
Mwandishi wa habari wa Nipashe Thobiasi Mwanakatwe akitoka lock up akiwa ameshika viatu vyake alikaa masaa 2 jana baada ya kupinga unyanyaswaji wa kaimu mkuu wa usalama barabarani Mbeya Henry Nguvumali
Thobias akizongwa zongwa na maafande
Hapa manjagu wakimkwida mwandishi wa Nipashe
Hapa Thobiasi akiwa tayari kupandishwa kwenye gofu kwa nguvu.