Mwandishi wa Global Makongoro Oging’ Afariki Dunia

jr.kiyn

JF-Expert Member
Mar 17, 2013
787
4,863
WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, watayarishaji wa magazeti ya Ijumaa Wikienda, Uwazi, Risasi, Amani, Ijumaa na Championi, wamepata pigo kwa kuondokewa na mfanyakazi mwenzao, aliyekuwa Mwandishi Mwandamizi wa Gazeti la Uwazi, Makongoro Oging’ aliyefariki leo jioni baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Marehemu aliugua kwa kipindi kifupi na alikuwa akiendelea kwa matibabu akiwa nyumbani kwake Tabata jijini Dar es Salaam ambapo mauti yamemfika.
Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Amana kusubiri taratibu za mazishi na msiba upo nyumbani kwake Tabata jijini Dar es Salaam.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe, Mungu ailaze roho ya marehemu Makongoro mahali pema peponi-Amina.
 
Pole wafiwa ila ukiondoa jambo la msiba hawa jamaa wa Global wanaishi na kuendesha familia zao kwa kazi ya umbea umbea tu halafu mkurugenzi wao anajiita sijui ni mtumishi sijui ameokoka yani wambea wambea.huwa najisikia (uchungu ila sio wa yule mbunge) watu wanadharilishwa wenyewe kwao ndio wanaishi
 
WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, watayarishaji wa magazeti ya Ijumaa Wikienda, Uwazi, Risasi, Amani, Ijumaa na Championi, wamepata pigo kwa kuondokewa na mfanyakazi mwenzao, aliyekuwa Mwandishi Mwandamizi wa Gazeti la Uwazi, Makongoro Oging’ aliyefariki leo jioni baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Marehemu aliugua kwa kipindi kifupi na alikuwa akiendelea kwa matibabu akiwa nyumbani kwake Tabata jijini Dar es Salaam ambapo mauti yamemfika.
Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Amana kusubiri taratibu za mazishi na msiba upo nyumbani kwake Tabata jijini Dar es Salaam.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe, Mungu ailaze roho ya marehemu Makongoro mahali pema peponi-Amina.
Lo!
Oging amefariki!
Tulishawahi kutana jatika medani za habari zake za utafiti jijini.
Mungu aiweke roho yake mahali pema.
Rip Oging.
 
WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, watayarishaji wa magazeti ya Ijumaa Wikienda, Uwazi, Risasi, Amani, Ijumaa na Championi, wamepata pigo kwa kuondokewa na mfanyakazi mwenzao, aliyekuwa Mwandishi Mwandamizi wa Gazeti la Uwazi, Makongoro Oging’ aliyefariki leo jioni baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Marehemu aliugua kwa kipindi kifupi na alikuwa akiendelea kwa matibabu akiwa nyumbani kwake Tabata jijini Dar es Salaam ambapo mauti yamemfika.
Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Amana kusubiri taratibu za mazishi na msiba upo nyumbani kwake Tabata jijini Dar es Salaam.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe, Mungu ailaze roho ya marehemu Makongoro mahali pema peponi-Amina.
inna lillahi wainna ilayhi rajiun.
 
Hawa jamaa kwa umbeya hawajambo! Wanatabia ya kuingilia faragha za watu bila kushirikisha ubongo wao! Kama hili kundi lao la " ofm" ni ugaidi tosha inabidi serekali iwafuatilie! Anyway na mungu amlaze pema peponi marehemu
 
Pole wafiwa ila ukiondoa jambo la msiba hawa jamaa wa Global wanaishi na kuendesha familia zao kwa kazi ya umbea umbea tu halafu mkurugenzi wao anajiita sijui ni mtumishi sijui ameokoka yani wambea wambea.huwa najisikia (uchungu ila sio wa yule mbunge) watu wanadharilishwa wenyewe kwao ndio wanaishi
Pole wafiwa. Kuna jamaa yangu aliwahi kunieleza kisa cha huyu Oging alivyoshirikiana na dada mmoja ili kumuingiza mtegoni huyu jamaa yangu. Yule dada alijilengesha makusudi na jamaa naye akanasa. Wakiwa faragha chumbani wakavamiwa na Oging na kundi lake la wapiga picha wakidai huyo dada ni mke wa mmojawao.

Kilichofuatia hapo ni Oging kudai milioni kadhaa kama kifumba mdomo vinginevyo watoe habari gazetini. Hata baada ya jamaa yangu kupewa mwezi mzima na nusu hakufanikiwa kupata na kutoa hizo milioni. Matokeo yake wakaja wakatoa habari na picha zake gazetini huku wakijidai tukio limetokea kama siku mbili tu nyuma. Na jamaa yangu baadae alikuja kugundua kuwa yule dada hakuwa mke wa mtu ila tu alikuwa akitumiwa na hao akina Oging katika matukio kama hayo ya ku blackmail watu.
 
Hawafai wanakufa hawajatubu hawa sijawahi kukutwa na tukio baya ila nilianza kuwafuatilia zamani lkn toka wabadilike na kuanza kuingilia faragha za watu na hii operation yao wanaita fichua maovu niliwazarau na nikaacha na kununua magazeti yao na huyu Shigongo simuhukumu ila huyu atakuja kuwa kuni mbele za Mungu maana ndio ameubaliki huu udharirishaji
 
Back
Top Bottom