Mwanazuoni Benson Bana na ukimya wake juu ya suala la Makinikia

ENG.PETER

Senior Member
Jan 14, 2015
126
186
Dr huyu mbobezi na mshaur kwa mambo ya kisiasa, kijamii hata uchumi mda mwingine nikati ya tunu kwenye taifa letu na ajawai kubaki nyuma au kukaa kimya taifa linapopata sintofaham kama sasa kwenye mambo ya kitaifa.


Amekuwa mfatiliaji mzuri hoja za kiserikali nje hata ndani ya bunge... na hata nje bila shaka amewai kuonya huko nyuma (1998)

Mi siwazamani sana lakini namkumbuka juzi kati hapa akiwafunda wapinzani kuwa hawajakomaa kisiasa hata juzi kati walipotoka bungeni kupinga mikataba ya Gas na Mafuta

Swali langu kwa wadau kuna yeyote aliye msikia toka zaga ili la makinikia lianze (Hata aliyeko karibu yake) maana asikiki si redioni, mitandaoni hata kwenye television kadhaa zilizomwalika kupata mawaidha yake
 
Dr huyu mbobezi na mshaur kwa mambo ya kisiasa, kijamii hata uchumi mda mwingine nikati ya tunu kwenye taifa letu na ajawai kubaki nyuma au kukaa kimya taifa linapopata sintofaham kama sasa kwenye mambo ya kitaifa.


Amekuwa mfatiliaji mzuri hoja za kiserikali nje hata ndani ya bunge... na hata nje bila shaka amewai kuonya huko nyuma (1998)

Mi siwazamani sana lakini namkumbuka juzi kati hapa akiwafunda wapinzani kuwa hawajakomaa kisiasa hata juzi kati walipotoka bungeni kupinga mikataba ya Gas na Mafuta

Swali langu kwa wadau kuna yeyote aliye msikia toka zaga ili la makinikia lianze (Hata aliyeko karibu yake) maana asikiki si redioni, mitandaoni hata kwenye television kadhaa zilizomwalika kupata mawaidha yake
You can predict his mind inclination anajulikana mrengo wake! All in all, hakuna anayeweza kujitokeza hawa wana vyuoni kutoa maoni huru, watamsifia kinafiki Mkuu!
 
Kati ya wasomi wasaliti wa nchi hii ni huyu mshauri wa CCM Dr. Benson Bana Bana wa pale Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. A hopeless academician ever seen.
 
Huyu Bana ndiye mshauri wa CCM, ni mwanaCCM kindakindaki, kazi yake kubwa ni kuuponda upinzani tu.
 
Huyo Bana ni kiazi kingine. Hana maana. Ni mchumia tumbo aliyejikomba serikalini muda nrefu ili apate cheo. Sasa amekata tamaa.
 
Dr huyu mbobezi na mshaur kwa mambo ya kisiasa, kijamii hata uchumi mda mwingine nikati ya tunu kwenye taifa letu na ajawai kubaki nyuma au kukaa kimya taifa linapopata sintofaham kama sasa kwenye mambo ya kitaifa.


Amekuwa mfatiliaji mzuri hoja za kiserikali nje hata ndani ya bunge... na hata nje bila shaka amewai kuonya huko nyuma (1998)

Mi siwazamani sana lakini namkumbuka juzi kati hapa akiwafunda wapinzani kuwa hawajakomaa kisiasa hata juzi kati walipotoka bungeni kupinga mikataba ya Gas na Mafuta

Swali langu kwa wadau kuna yeyote aliye msikia toka zaga ili la makinikia lianze (Hata aliyeko karibu yake) maana asikiki si redioni, mitandaoni hata kwenye television kadhaa zilizomwalika kupata mawaidha yake

Huyo unaemuulizia ndio miongoni mwa wale wasomi wengi aliowesema Mzee Butiku
 
Back
Top Bottom