Hahahahaaa
...pole asee, sikukuu keshokutwa apo, unafikiri hela inatoka kirahisirahisi?
btw baada ya kunyimwa hela ndo unajua sio handsome? siku zote ulikua wap?
wanawake wa siku hizi wanapenda maisha ya kitonga sana ndo mana hamfikishwi kileleni maana mademu wamekuwa cheap sana yaani wananunulika utakuta mwanaume anagegeda watatu kwa siku moja sasa hao ukiwa wa mwisho lazima hautofikishwa tu ila kwa kuwa umekula vya mwanaume basi lazima utumikeee
Hapa tungepata na upande wake tukaona mapungufu yako ingekuwa vyema zaid, kuliko kumsema vibaya mwanaume mwenzetu....hakuna binadamu aliyekamilika %100....wote tuna mapungufu ila yanatofautiana...labda wewe mungu alikupendelea!!