Mwanaume

🙂 🙂 🙂 hili nalo neno! unaumbo mtu akikuangalia kwa mbali kidogo kama unakuja, kumbe unaenda!! Hatari sana!

ubaya wake kuna wanawake wanadhani wanaume tunapenda papuchi tu bila kujua kuwa hata sisi tunaangalia vigezo
 
si kihere here chako ndo kimekupeleka kuna lundo la wanaume duniani! acha ukome
 
hahahaha.......kuja kwangu mrembo upate vitu adimu maana sikukuu hii imekaribia....tukajimwaye mwaye.
 
Hahahahaaa
...pole asee, sikukuu keshokutwa apo, unafikiri hela inatoka kirahisirahisi?
btw baada ya kunyimwa hela ndo unajua sio handsome? siku zote ulikua wap?
 
Show huezi, haya basi toa hela napo mbahili, bora basi ungekua handsome napo hamna kitu.. khe!! Usaidiwaje sasa😕

Hahahahahaaaa uwiiiii, ukute na ana Gubu...utakojoa dagaa
 
Show huezi, haya basi toa hela napo mbahili, bora basi ungekua handsome napo hamna kitu.. khe!! Usaidiwaje sasa😕

Ha ha ha ha haaa, anakukopa tu na hakuna benefits. Wachane tu boo
 
Khakhakhaaaaaa hatariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
wanawake wa siku hizi wanapenda maisha ya kitonga sana ndo mana hamfikishwi kileleni maana mademu wamekuwa cheap sana yaani wananunulika utakuta mwanaume anagegeda watatu kwa siku moja sasa hao ukiwa wa mwisho lazima hautofikishwa tu ila kwa kuwa umekula vya mwanaume basi lazima utumikeee
 
Hapa tungepata na upande wake tukaona mapungufu yako ingekuwa vyema zaid, kuliko kumsema vibaya mwanaume mwenzetu....hakuna binadamu aliyekamilika %100....wote tuna mapungufu ila yanatofautiana...labda wewe mungu alikupendelea!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…