Mwanaume yupi anafaa?

nakushauri umpende anaekuhudumia mkuu coz yule mwingine silaha yake ni sex tu...
najua unampuuza anaekuhudumia ajili ya mgegedo wa huyo jamaa bt tambua hisia za matamanio ndo huleta majuto badae, ufunze moyo wako kumthamini anaekujali maana upendo ni zaidi ya sex
 
HAPO TATIZO LILIANZA PALE ALIPOKUBALI KUA NA MAHUSIANO NA WATU WAWILI TOFAUTI.
ANGEKUA NA MMOJA ASINGEGUNDUA MADHAIFU YA MWINGINE, ILA KAMA ATAKUBALI KUKUNWA VIZURI ALAFU ANALALA NA NJAA SIJUI KAMA ATARIDHIKA NI BORA KUA NA MWENYE KIPATO MAISHA YAENDELEE SABABU HUYO ANAEJUA KUKUNA AKIKUTANA NA MWANAMKE MWENYE FEDHA AKAMKUNA VIZURI ANAWEZA PIA KUMKIMBIA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rudia kusoma mwenye kujua mapenzi ana kazi na ana pesa ila mbahili, mwenye hapendwi hana kazi anaunga unga tu mtaani ila akipata ndo anamhudumia huyu mdada

Kwa hiyo ukifananisha vipato huyu mbahili ndo ana unafuu wa maisha
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ni happyness over prosperity.
Lakini kuna mtu atakuambia bora uende ukalie ndani ya bmw kuliko furaha kwenye kibanda umiza
Kwa haraka haraka ni sawa kabsa unaweza sema bora kwenda kwenye hela au dudu.
Bt akumbuke mkioana sio mda wote mtashinda kitandani au shopping.
Kuna mengi zaidi ya hayo, unaweza kua na hela na ukawa mpeke au dudu unapata vzuri ila ndo unapauka[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una miaka mingapi hadi hujui mapenzi? Tatizo la wanawake/ wasichana wa kitanzania wanawaza mapenzi ni pesa. He huyo ambaye humfeel siku akianza kukunyima pesa au akiishiwa utafanyeje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…