Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,420
- 40,401
Mwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.
Kutokana na urefu wa kamba zetu na uwezo wa kushawishi, tunajikuta tunaishia kuwa na mahusiano na watu wasiokuwa na sura au shepu shawishi; huku tukisingizia mwanamke mzuri ni tabia.
Ingawa kuwa meneji, wanawake wenye sura na shepu nzuri ni vigumu; ila tubaki kusema; Mwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.
Huo ndio ukweli
Kutokana na urefu wa kamba zetu na uwezo wa kushawishi, tunajikuta tunaishia kuwa na mahusiano na watu wasiokuwa na sura au shepu shawishi; huku tukisingizia mwanamke mzuri ni tabia.
Ingawa kuwa meneji, wanawake wenye sura na shepu nzuri ni vigumu; ila tubaki kusema; Mwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.
Huo ndio ukweli