Yani mimi ulifika tu wakati nilijiona nahitaji kuwa na wifey ili niwe na familia,basi nikatafuta mdada mmoja ambae niliona ananivutia nikabeba ndani ya mwaka nkatangaza ndoa!!ndo niko nae mpaka sasa tuna miaka mitano tunalala na kuamka pamoja!
Yani mimi ulifika tu wakati nilijiona nahitaji kuwa na wifey ili niwe na familia,basi nikatafuta mdada mmoja ambae niliona ananivutia nikabeba ndani ya mwaka nkatangaza ndoa!!ndo niko nae mpaka sasa tuna miaka mitano tunalala na kuamka pamoja!
Ana takoooo.. Chura yupoooo. Hicho Ndio kigezo mama cha kumvika Pete mama yenu. Asitokee Mtoto mwanahizaya aombe picha ya mama yake.... Nitamkamua nyongo
Kwa kweli mm bana nilijitoa mhanga maana nilishakuwa na mahusiano b4 na kujifanya eti namchunguza mwanamke nikaja kugundua kumbe unaweza kutumia muda wa maisha yako yote hapa duniani kumsoma mwanamke na usimuelewe!
Alikuwa msafi na akanifanya niwe na mwonekano mzuri kiasi cha mademu kuanza kunishobokea ..nikaona nikimuacha nitajikuta narud Enzi zang za u-hardcore mademu niwasikie kwenye bomba.
Ana takoooo.. Chura yupoooo. Hicho Ndio kigezo mama cha kumvika Pete mama yenu. Asitokee Mtoto mwanahizaya aombe picha ya mama yake.... Nitamkamua nyongo