SISIS
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 10,671
- 2,028
Kuna mdau aliwahi kukazia humu kuwa mwanaume anayejielewa usijiwekee asilimia miamoja kuwa mwanamke uliyenaye anaweza kuwa nawewe milele , usijiwekee asilimia mia siku akibadilka utakuja kulia
Mwanaume anaweza akachepuka na bado akaijali familia yake na kila kitu kuazia matunzo akaendelea kutoa ila mwanamke akianza kukusaliti jua ndio ntolee
Sasa ukiwa na mwanamke hasa mchumba epuka sana kuwekeza fedha nyingi au kumwaga hela ukijua ndio tayari ni wako , my friend mchumba hatakiwi kuwekezewa mali ukiwekeza fanya kama unabeti ili siku akija kukubadikikia usije ukashika kisu , misiba hatuitaki
Mpende mwanamke kwa kiasi na usiamini kuwa utakuwa naye milele ili siku akija kubadilika usije ukaja kulia, mwanaume anaweza akachepuka na mwanamke aliyekutana nae ndani ya mwezi mmoja na bado akaendelea kumjali mkewe na familia ila mwanamke anaweza akachepuka na mtu aliyefahamiana nae ndani ya wiki tu na akabadilika kabisa ni wepesi kubadilika (sio wote)
Hivyo kama upo na mwanamke na unajua hujamuowa ishi nae kwa akili, kama huna moyo acha kabisa kutumia fedha nyingi kumhonga au kumfungulia mabiashara makubwa ukidhani utamdhibiti , siku akija kubadilika hutoamini macho yako, ukitoa hela toa kama unabeti ukijua kuna hasara na faida ili siku akifanya yake usije ukaanza kunoa panga.
Mpende kwa kiasi ukijifanya unampenda na kumnyenyekea umeisha, wanawake wakiona mwanaume zezeta kukusumbua ni kawaida, yani kuwa nje ndani asijue kama yeye ndio kila kitu kwako ili asikuletee masihara, mpende mhudumie kwa kiasi ila sio kwa misifa akija kubadilka narudia tena utakuja kufungua uzi hapa kulalamika
Mwanaume anaweza akachepuka na bado akaijali familia yake na kila kitu kuazia matunzo akaendelea kutoa ila mwanamke akianza kukusaliti jua ndio ntolee
Sasa ukiwa na mwanamke hasa mchumba epuka sana kuwekeza fedha nyingi au kumwaga hela ukijua ndio tayari ni wako , my friend mchumba hatakiwi kuwekezewa mali ukiwekeza fanya kama unabeti ili siku akija kukubadikikia usije ukashika kisu , misiba hatuitaki
Mpende mwanamke kwa kiasi na usiamini kuwa utakuwa naye milele ili siku akija kubadilika usije ukaja kulia, mwanaume anaweza akachepuka na mwanamke aliyekutana nae ndani ya mwezi mmoja na bado akaendelea kumjali mkewe na familia ila mwanamke anaweza akachepuka na mtu aliyefahamiana nae ndani ya wiki tu na akabadilika kabisa ni wepesi kubadilika (sio wote)
Hivyo kama upo na mwanamke na unajua hujamuowa ishi nae kwa akili, kama huna moyo acha kabisa kutumia fedha nyingi kumhonga au kumfungulia mabiashara makubwa ukidhani utamdhibiti , siku akija kubadilika hutoamini macho yako, ukitoa hela toa kama unabeti ukijua kuna hasara na faida ili siku akifanya yake usije ukaanza kunoa panga.
Mpende kwa kiasi ukijifanya unampenda na kumnyenyekea umeisha, wanawake wakiona mwanaume zezeta kukusumbua ni kawaida, yani kuwa nje ndani asijue kama yeye ndio kila kitu kwako ili asikuletee masihara, mpende mhudumie kwa kiasi ila sio kwa misifa akija kubadilka narudia tena utakuja kufungua uzi hapa kulalamika