Mwanaume unique ndio mpango mzima kwa wanawake

Mwanaume unique ndio mpango mzima kwa wanawake

kwamtoro

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
4,922
Reaction score
3,244
Naomba msinielewe vibaya wana wana MMU.

Ila hii kitu kwa wanawake ni zawadi kubwa sana wamepewa na Mungu.

Mfano mwanaume anaweza kuwa anasauti kama ya mbuzi beberu, wanawake wakapanga foleni kwake.

Mwanaume anaweza kuwa anamiguu kama chura, wanawake wakapanga foleni kwake.

Anaweza kuwa na pua kama rungu, wanawake kwao inakuwa hoi bin taabani.

Binafsi hii karama kwa wanawake naifagilia sana la sivyo dhana ya mapenzi isingekuwepo.

Na siku hizi wanapenda sana walemavu, ujue mwanaume mwenye dushelele zaidi ya inchi 7 ni ulemavu.

Kwa hiyo kama kuna mlemavu mtaani basi wanawake upeana taharifa na kila asikiaye utamani kuuona huo ulemavu.
 
sasa sii ungesema tuu kuwa wanawake wanapenda dushelele kubwa mwana!!!
 
Umeuzunguka mbuyu mwishowe umepata kizunguzungu wakati ulikua unataka kuupanda.
Ungesema tu wanawake wanapend inch 7.
 
Haaaaa don't beat around the bush,go straight.....Sasa hizo 7" si vizazi vitasogea sana ndio maana siku hizi kushika mimba ni kazi sana maana vizazi vimesogezwa na kina Mandingo type
 
Last edited by a moderator:
kwamtoro una kibamia nini?.....mbona umebeat sana around the bush....
 
Last edited by a moderator:
kama unaona inch 7 ni ULEMAVU, basi jaribu inch 3 !!!!
 
Ndio ujue mwanamke anapenda kitu zaidi ya physical appearance!
 
Naomba msinielewe vibaya wana wana MMU. Ila hii kitu kwa wanawake ni zawadi kubwa sana wamepewa na Mungu. Mfano mwanaume anaweza kuwa anasauti kama ya mbuzi beberu, wanawake wakapanga foleni kwake. Mwanaume anaweza kuwa anamiguu kama chura, wanawake wakapanga foleni kwake. Anaweza kuwa na pua kama rungu, wanawake kwao inakuwa hoi bin taabani.
Binafsi hii karama kwa wanawake naifagilia sana la sivyo dhana ya mapenzi isingekuwepo.
Na siku hizi wanapenda sana walemavu, ujue mwanaume mwenye dushelele zaidi ya inchi 7 ni ulemavu. Kwa hiyo kama kuna mlemavu mtaani basi wanawake upeana taharifa na kila asikiaye utamani kuuona huo ulemavu.

Hii nasikia hata mateja nao wapo fit kwenye gemu usione anasinzia barabarani ngoja akamate usawa wa goli balaa wamama wengi wanawalea kwa lengo moja kuwakuna tu
 
wa2 wataka mguu wa mtoto we ulete kidole cha kati inahusu
 
Kaka naona leo umeamua kutoa vibomu tu teh! teh! teh!

Hii nasikia hata mateja nao wapo fit kwenye gemu usione anasinzia barabarani ngoja akamate usawa wa goli balaa wamama wengi wanawalea kwa lengo moja kuwakuna tu


hogo la jang'ombe mpango mzima nivea raha zaidi likiingia kwenye tiGo weweeeeeeee hogo taiti full mnato


hahaha inakuwa kama ya punda inataka kutokezea mdomoni
 
:becky::becky: hahaha inakuwa kama ya punda inataka kutokezea mdomoni

Waswahili wanamisemo lakini kwa wale walio ona live malavidavi ya wanyama punda. Ujue Mama punda pindi baba punda akiwa sayari ya ngapi sijui. Mama punda huwa kama anang'atang'ata mdomo. Eti inamaanisha jinsi ajisikiavyo ni kama inatoka kwa mdomoni. Inamaana anaivizia ikitoka tu, ndio mwisho wa baba punda.
 
Back
Top Bottom