Mwanaume unaanzaje kulialia?

Mwanaume unaanzaje kulialia?

""Busara Nyingi kama Nyerere au Mwinyi,,Tunafika kilele ila Hatupigi kelele Nyinyi"###DizastaVina###
 
Naomba namba yake kama unayo!!
Wanaume wanao toa miguno ya utamu wana sehemu yao mbinguni na nikwambie tu hiyo sehemu ina free wifi.
Sasa wewe unazunguka sana si nikupe yangu tu chap.
 
Wajumbe mambo mengine yanakera. Hivi mwanaume unaanzaje kulialia kwa sauti.Hiz mambo nilishuhudia kipindi flan wakati ndyo naanza maisha nikawa nimepanga nyumba flani hivi ilikuwa haina hata siling.Yaan unakuta mida ya midnight jamaa analia balaa mpaka watoto wanaamka,wf yy katulia t
Kama ndo alikua kaoa mtanga basi hujue alikua alipigwa dole dogo.

Ooops ulimi umeteleza
 
Back
Top Bottom