Wajumbe mambo mengine yanakera. Hivi mwanaume unaanzaje kulialia kwa sauti.Hiz mambo nilishuhudia kipindi flan wakati ndyo naanza maisha nikawa nimepanga nyumba flani hivi ilikuwa haina hata siling.Yaan unakuta mida ya midnight jamaa analia balaa mpaka watoto wanaamka,wf yy katulia t









