Sweta LA Tanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 886
- 2,822
Hamida
Haya mabaharia. Mleta mada ametaja vigezo vyake japo indirectly. Kazi kwenu!
Ahsante. Na kwako pia Mtani.Mtani Happy Valentine.
Na kweli Mdogo wangu. Naona mwezi wa kupendana huu.Huu ni mwezi wa malavidavi sasa January tupa kulee
Ahsante. Na kwako pia Mtani.
tafuteni hela jamani asikudanganye mtu pesa ndio kila kitu,ukiwa na pesa manyanyaso haya huwezi kuyapata kamwe
😅😅😅 naona unataka kurudisha machungu yangu Mtani.Asante Mtani, hivi mtani ule msemo wa "Wape Salaam" bado unahusika baada ya hizi droo kadhaa?
wanatafuta pesa tu,wakipata mtu mwenye hela wanatulia hao mwanamke ni matunzo tu,gari kali,nyumba ya kuishi,na umpe mahitaji yake yote anayostahili pamoja na kumkunja sawa sawa,hapo umemalizaHiyo kweli ..ila haiondoi ukwel sikuhiz watoto wa kike wamekua who're
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona eeh? CmbnHivi ile Njaanuary ishapita eee? Mana ilifanya kukawa shwaari kila kona.
😅😅😅 naona unataka kurudisha machungu yangu Mtani.
Tumeupumziisha kidoogo tutautumia ikikaribia na Machi 8. 😎
wanatafuta pesa tu,wakipata mtu mwenye hela wanatulia hao mwanamke ni matunzo tu,gari kali,nyumba ya kuishi,na umpe mahitaji yake yote anayostahili pamoja na kumkunja sawa sawa,hapo umemaliza
Wachaaa!!Sisi tunataka kupokea hizo salamu.
Kwa hiyo tutaitika tu hata kama hamjazituma.
Wachaaa!!
Kuna wanaume hasara taslimu. Mtu unawaza mpaka unajisemea tu "mwe hata huyu naye ananitaka.mwanzo wa mikosi"
Mkaka anakuja INBOX na mbwembwe zooooote. Anasema yeye ana Mpini mkubwa. Nami nmemjibu nina mchi mkubwa zaidi.
Wanaume wa siku hizi yaani haya uanaume hawana.wanadhani mwanamke anataka tu mpini mkubwa .....mi wa nini? Mwanamume mstaarabu,msomi,mwenye kupendeza na anayejua kupenda ndo mambo yote.
Kufika kileleni niwaambie kaka zangu kwa sisi wanawake ni hisia.wala si ukubwa wa uume wa mwanaume.hata kidole tu kinaweza nifikisha kileleni kama nakufeel.
Sijui mpini mkubwa ,mnene....wala.nendeni kwa hao ambao maeneo yao yashakuwa bwawa.mi nawashauri tu msije sema oooohh mamshuza ataka bwana.
Nina mume miye.nawaasa tu vijana wadogo ninyi mwahangaika sana na wanawake.badala ya kutafuta pesa,maisha na kuwa na siha njema.
Kanakuja kanaume hata afya yake tu inaonekana ina mgogoro.cha kutaka kufia kwangu? Akhaaaaaah. Mi nina afya yangu.kaning'inieni huko.mtuwache si wengine hatutaki shombo.
Huna pesa, siyo hendisamu,hupendezi,huna ustaarabu.mpini wako katwangie mahindi.nyooooooooh.jifunzeni uungwana.
Kumbe ile slogan ya mwanaume mashine haina maana tena...!!!
Jr
sauti inatosha kabisa mkuu wamekusikiatafuteni hela jamani asikudanganye mtu pesa ndio kila kitu,ukiwa na pesa manyanyaso haya huwezi kuyapata kamwe