Mwanaume siyo handsome, hana pesa, siyo mstaarabu lakini ana mpini mkubwa. So what?

Pengine wanaweza tulia japo sio guarantee ila hapa tusiweke neno wala kupunguza tuhudumie ipasavyo ila tusisahau tamaa ipo tu
wanatafuta pesa tu,wakipata mtu mwenye hela wanatulia hao mwanamke ni matunzo tu,gari kali,nyumba ya kuishi,na umpe mahitaji yake yote anayostahili pamoja na kumkunja sawa sawa,hapo umemaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wanaume hasara taslimu. Mtu unawaza mpaka unajisemea tu "mwe hata huyu naye ananitaka.mwanzo wa mikosi"

Mkaka anakuja INBOX na mbwembwe zooooote. Anasema yeye ana Mpini mkubwa. Nami nmemjibu nina mchi mkubwa zaidi.

Wanaume wa siku hizi yaani haya uanaume hawana.wanadhani mwanamke anataka tu mpini mkubwa .....mi wa nini? Mwanamume mstaarabu,msomi,mwenye kupendeza na anayejua kupenda ndo mambo yote.

Kufika kileleni niwaambie kaka zangu kwa sisi wanawake ni hisia.wala si ukubwa wa uume wa mwanaume.hata kidole tu kinaweza nifikisha kileleni kama nakufeel.

Sijui mpini mkubwa ,mnene....wala.nendeni kwa hao ambao maeneo yao yashakuwa bwawa.mi nawashauri tu msije sema oooohh mamshuza ataka bwana.

Nina mume miye.nawaasa tu vijana wadogo ninyi mwahangaika sana na wanawake.badala ya kutafuta pesa,maisha na kuwa na siha njema.

Kanakuja kanaume hata afya yake tu inaonekana ina mgogoro.cha kutaka kufia kwangu? Akhaaaaaah. Mi nina afya yangu.kaning'inieni huko.mtuwache si wengine hatutaki shombo.

Huna pesa, siyo hendisamu,hupendezi,huna ustaarabu.mpini wako katwangie mahindi.nyooooooooh.jifunzeni uungwana.

kwa hiyo swala ni hela na u HB...cyo kwamba umeolowa tena...hizi ndoa hizi...Marufuku wife kujiunga huku...midume ya humu hapana aisee
 
Back
Top Bottom