Wyt Chris
Member
- Apr 30, 2013
- 78
- 47
Mim nina lesen peke yake vp naweza kupata mkuu
Vigezo na masharti huzingatiwa....kama mwenzako atakidhi vigezo, itakuwa ngumu kupata bt usikate tamaa, go there and try to convice them.
Mim nina lesen peke yake vp naweza kupata mkuu
Uchízi sio lazima uokote makopo .salary jiwe nne na wewe huna kaz alaf unasema wanakunyonya ..we endelea kusugua mabench kitaa na utakufa lofa..
Kwa hisani ya Zoomtz- ndo nilikotoa hizi taarifa!!!!!!kuna jamaa anaitwa Mr Rohit 0785801348, ana kampuni inaitwa Europecar, anatafuta front ofice manager, vigezo: english iwe reachable sana, leseni ya udereva, active, energetic, experience kiasi, IT skills ziwemo na anahitaji mwanaume tu..Kwa maelezo ya haraka niloyapata mshahara 400,000/..jana nilim direct mtu akaenda kwa interview ila jamaa mwnyw ni graduate so hajajiamini akapigwa chini...IT skills na Leseni ndo vigezo muhimu..hebu changamkieni jamani, ofice Serena hotel...
Atakaepata aje na taarifa
Huu mchongo bado upo au ushapaa?
Kaka mimi nina vigezo ila sina leseni. Ni head wa department na it technician katika chuo kimoja hata dar vp naweza kupata hyo fursa?
Kaka mimi nina vigezo ila sina leseni. Ni head wa department na it technician katika chuo kimoja hata dar vp naweza kupata hyo fursa?