Hujaeleweka, fafanua zaidi.
Madaktari hebu mtoe msaada kidogo jamani. Kuna tatizo la mtu wa jinsia ya kiume anapokuwa anajisaidia haja kubwa akijikamua na manii nayo yanotoka! Hii inasababishwa na nini?
haina madhara kwa afya.......ni kama ile wakati wakiwa ndani ya chumba cha mtihani watu wanatokwa na manii....hii ndio nashindwa kuilewa maana kipindi kile mtu anakuwa na uoga iweje ajipigie bao ghafla?
haina madhara kwa afya.......ni kama ile wakati wakiwa ndani ya chumba cha mtihani watu wanatokwa na manii....hii ndio nashindwa kuilewa maana kipindi kile mtu anakuwa na uoga iweje ajipigie bao ghafla?
Wow!!!!!...Yo Yo...umeniacha hoi babu...
Watu wanapiga bao ndani ya chumba cha mtihani duh!..hio kali.
Ana maana wakati zinatoka UNASIKIA UTAMU?Huaelewa kipi? Wakati wa kujikamua mavi, na wakati huo huo unashtukia shahawa zinatoka kupitia kwenye uume!
Inatokea sana.....uliza wale waoga wa hesabu watakuambia.....nakumbuka nikiwa form 2 ilikuwa ni test ya Quadratic equation zile za ax2 − b − c=0.....basi jamaa alikuwa kiazi wa hesabu ile kupata karatasi ya maswali namuona anajinyoosha mpaka akaanguka toka kwenye kiti....msimamizi kumuuliza jamaa hasemai kitu....katoa macho....baadae ndio akasema ali score limojaWow!!!!!...Yo Yo...umeniacha hoi babu...
Watu wanapiga bao ndani ya chumba cha mtihani duh!..hio kali.