Mwanaume kusingizia umelishwa Limbwata! Huo ni uboya....

No Escape

JF-Expert Member
Mar 7, 2016
6,663
7,784
Mwanaume umekamilika kabisa tena unajiita mwanaume Rijali,unakubali kabisa kupelekwa pelekwa kama behewa la Train! Mwanamke huyo amekuwa nani,ana nini cha maana Kama raha si tunakula wote...Mwanamke yeyote hawezi kufanya jambo lolote bila kupima uboya wako kwanza akikuona unaelekea anatafuta lingine.hakuna cha limbwata wala nn,nawasihi msiwe wazito kuwapiga chini wakiwazingua hiyo ndio kiboko yao!!!!!!!!
 
Mwanaume umekamilika kabisa tena unajiita mwanaume Rijali,unakubali kabisa kupelekwa pelekwa kama behewa la Train! Mwanamke huyo amekuwa nani,ana nini cha maana Kama raha si tunakula wote...Mwanamke yeyote hawezi kufanya jambo lolote bila kupima uboya wako kwanza akikuona unaelekea anatafuta lingine.hakuna cha limbwata wala nn,nawasihi msiwe wazito kuwapiga chini wakiwazingua hiyo ndio kiboko yao!!!!!!!!

Polepole kaka, kuna mtu kalishwa Korosho humu na sasa kazidisha kumpenda aliyemletea korosho
 
Pole kwa kutokujua mwanamke hana cha maana. Pia usijione kuwa mwepesi wa kupiga na chini ndio sifa kuna mengi yanakuwa yanarudi nyuma kutokana na kubadilisha badilisha wanawake kila kukicha.

Wapo ambao wanapenda wenyewe kupelekwa pelekwa na kama hujui utakavyojiweka kwa mwanamke ndio hivyo hivyo atakavyokuchukulia
Hiyo point yako ya pili nadhani umenielewa ndio maana umeirudia,Kuhusu kupiga chini haya yapo na yanatokea sana sio peke yangu na kwa mimi sitoacha,Ukizingua tu kwenu...Kila mtu ana thamani kwa mwenzie tusichoshane kama anajiona queen mi najiona king.
 
Mtoa mada hujarogwa wewe, au tuseme wewe ni mganga unauza limbwata kijanja, hapa sasa unazuga watu.
Au siyo mtu mwenye maisha mazuri. not handsome.

mwanamke anatamani kile ulicho nacho wewe kma mwanaume, umbo lako, kazi yako, magari yako, hela zako, mbegu yako nk, sasa kama huna hivyo vyoote akufanyoie limbwata la nini?

Hata ukimpiga chini sijui atoke kwako. nakwambia hatokiiiiii! walivo ving'ang'anizi sababu ya kupenda maisha yako labda umtoroke. uhame wewe, utamuweza
amezoea kupikia jiko zuri, self nzuri, Gari zuri, watoto wazuri,

leo unampiga chini eti arudi kijijini awe mkulima maskini, apikie kuni, atwange muhogo ili ale, akamue thubutuuuuu! ukizidisha kumpinga aondoke lazima ipo siku anakuua tu. utake usitake na uanaume wako uwe mpole kama maji yasvyo pinga kunywewa.

Labda uwe lijimaskini sana kuliko kwao alikotoka. utafanikiwa kumpiga chini. vinginevyo usitushauri humu ndani aina ya kifo cha kujitakia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom