Wameiba Kura
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 390
- 3
this is true, mwanaume kuwa na aibu ukiwa na mwanamke ni ukilema wa ubongo, STAND UP, SPEAK,acha kuwa BUBU, upatiwe nini, demu angate vidole
na mwanaume ungate vidole eeeboooo, demu atakucheka na kukudharau
Wengine anakuita ukienda hana la kusema anakutizama huku michozi inamtoka
hhahahahahahahahaa lol
oooohh dear umeniacha hoi...
halafu hapo ukimuuliza nini kulikoni
anakupigia ( uzuri wako) kwa kweli wanazidishaga saa nyingine..
hhahahahahahahahaa lol
oooohh dear umeniacha hoi...
halafu hapo ukimuuliza nini kulikoni
anakupigia ( uzuri wako) kwa kweli wanazidishaga saa nyingine..
Halafu uongo mtupu dear,ila siku hizi watashaa labda wakutane na warugaruga
This is lack of confidence kwa baadhi ya wanaume. they are not ready take any risk
hahahahaha lol
mie kwa kweli napataga tabu sana kuwaamini..
kweli kabisa. Tunapenda wanaojiamini.
Sio mnatutokea halafu mnaanza kucheka cheka.
hawaaminiki mpenzi na ukishawajua hawakupi shida
Wengine anakuita ukienda hana la kusema anakutizama huku michozi inamtoka
mmmhh lakii hawa watu wamejaliwa..
utakuta anakuangalia usoni anakwambie
maneno mataam kweli..
kumbe uongo mtupu...
hahahahha lol
usema ukweli napenda kuyasikiliza..
even tho mara nyingi sichukui notice yeyote dear lol