Mwanaume kama huna hii full package, kuchapiwa ni lazima

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Sep 16, 2015
26,953
49,704
Kila mwanamke ili atulie kabisa,anaitaji wanaume wa aina tatu.
1.Anaeujaza moyo wake,yaani hata akinywa maji anamuona mwanaume anaempenda yaani wanaita true love wake

2 .Mwanaume muhongaji wenyewe wanaita buzi yaani buzi linaclear majanga yote incase of emergency miamala inasomeka fastafasta Mpesa ATM etc.

3.Mume wa kumuweka ndani na kulea watoto wa kumpa home nadhani naeleweka kila mwanamke anatamani ajulikane nae kwa mama fulani kwa mama fulani kutokana na hali ya maisha inakuwa ngumu mwanaume mwenye sifa zote hizo kupatikana akipatikana namba moja utakuta hana hata mia na mpango wa kuoa hana wala nini.

Akipatikana namba mbili unakuta hapendwi wala sio muoaji ila na mtu kukataa misaada na hali ya uchumi ilivo nayo sio rahisi akipatikana mume nae unakuta majanga hapendwi mtu kaamua kuolewa tu umri unasonga nk, ila hela hana hata ada ya watoto ni kwa msaada wa vicoba kwa jina la mama inabidi tu mama awe na namba mbili,buzi la kumsaidia.Nawashauri wanaume mjipange sana mkiwajibika wanawake wote watatulia hawatakuwa michepuko tena ni aibu sana baba upo ndani na mkeo kumbe ni mchepuko wa mtu!

Wekend njema jamani.Ramadhan kareem!
 
Hii nayo kali!!! Huyu alikuja anatafuta mume. Sahivi anashauri namna ya mume? Acheni masikhara mapenzi hayana formula kila mmoja na style yake sababu tunatofautiana mahitaji. Wewe bado hujajua maana ya mume ama mke. Endelea kwanza kutafuta siku ukiingia kwenye anga halisi ndo utajua tofauti ya mume na mke. Endelea kuchuna tuu.
 
kila mwanamke ili atulie kabisa ,anaitaji wanaume wa aina tatu.
1.anaeujaza moyo wake.yaani hata akinywa maji anamuona .mwanaume anaempenda yaani wanaita true love wake
2 .mwanaume muhongaji..wenyewe wanaita buzi .yaani buzi linaclear majanga yote incase of emergency miamala inasomeka fastafasta mpesa atm etc
3.Mume.wa kumuweka ndani na kulea watoto .wa kumpa home nadhani naeleweka kila mwanamke anatamani ajulikane nae kwa mama fulani kwa mama fulani.
kutokana na hali ya maisha inakuwa ngumu mwanaume mwenye sifa zote hizo kupatikana
akipatikana namba moja utakuta hana hata mia na mpango wa kuoa hana wala nini.
akipatikana namba mbili unakuta hapendwi wala sio muoaji ila na mtu kukataa misaada na hali ya uchumi ilivo nayo sio rahisi
akipatikana mume nae unakuta majanga hapendwi mtu kaamua kuolewa tu umri unasonga nk ila hela hana hata ada ya watoto ni kwa msaada wa vicoba kwa jina la mama .inabidi tu mama awe na namba mbili..buzi la kumsaidia
nawashauri wanaume mjipange sana.mkiwajibika wanawake wote watatulia hawatakuwa michepuko tena.ni aibu sana baba upo ndani na mkeo kumbe ni mchepuko wa mtu !
wekend njema jamani
ramadhan kareem!
 
Hii nayo kali!!! Huyu alikuja anatafuta mume. Sahivi anashauri namna ya mume? Acheni masikhara mapenzi hayana formula kila mmoja na style yake sababu tunatofautiana mahitaji. Wewe bado hujajua maana ya mume ama mke. Endelea kwanza kutafuta siku ukiingia kwenye anga halisi ndo utajua tofauti ya mume na mke. Endelea kuchuna tuu.
tatizo humu mnajifanya mnajua watu saana.????? tena unachapiwa tu sio bure bovu hilo
 
kila mwanamke ili atulie kabisa ,anaitaji wanaume wa aina tatu.
1.anaeujaza moyo wake.yaani hata akinywa maji anamuona .mwanaume anaempenda yaani wanaita true love wake
2 .mwanaume muhongaji..wenyewe wanaita buzi .yaani buzi linaclear majanga yote incase of emergency miamala inasomeka fastafasta mpesa atm etc
3.Mume.wa kumuweka ndani na kulea watoto .wa kumpa home nadhani naeleweka kila mwanamke anatamani ajulikane nae kwa mama fulani kwa mama fulani.
kutokana na hali ya maisha inakuwa ngumu mwanaume mwenye sifa zote hizo kupatikana
akipatikana namba moja utakuta hana hata mia na mpango wa kuoa hana wala nini.
akipatikana namba mbili unakuta hapendwi wala sio muoaji ila na mtu kukataa misaada na hali ya uchumi ilivo nayo sio rahisi
akipatikana mume nae unakuta majanga hapendwi mtu kaamua kuolewa tu umri unasonga nk ila hela hana hata ada ya watoto ni kwa msaada wa vicoba kwa jina la mama .inabidi tu mama awe na namba mbili..buzi la kumsaidia
nawashauri wanaume mjipange sana.mkiwajibika wanawake wote watatulia hawatakuwa michepuko tena.ni aibu sana baba upo ndani na mkeo kumbe ni mchepuko wa mtu !
wekend njema jamani
ramadhan kareem!
Na hawapatikani kamwe,wengi tunapenda kutumia na kuacha,pia pesa haitoki kirahisi labda wanaume wasiojitambua
 
Dunia ya leo pesa inaburuza mapenzi. Demu anataka kushiba, kuvaa vizuri na kunukia vizuri. Bila kusahau alale pazuri. Upendo hufifishwa na ukosefu wa haya mambo.

Yaani demu ana njaa halafu katokea mshefa anamtoa buku kumi akatae kisa anakupenda?

Demu ana kiatu cha mwaka juzi, mini sketi yake imefubaa kwa kuwa imevaliwa miaka 5 bila kubadilishwa. Halafu inatokea mshefa anampeleka boutique akatae kisa anakupenda?

Kakuomba pesa anunue simu mpya au ahame kutoka tochi kwenda touch, ama ahame toka yenye rubber band kwenda kwenye self bound. Ni miezi 6 sasa imepita unapiga danadana. Akitokea mshefa anam-help akatae kisa anakupenda?

Unamlaza kwenye godoro ulilotumia o level, umehama nalo kwenye vyuo vyote ulivyosoma. Limechakaa na lina uvundo wa kila aina. Atokee mshefa kampeleka geto kuna godoro jipyq subwoofer mpya vipafyumu vya rungu kwa mbali akatae kisa anakupenda?
 
Dunia ya leo pesa inaburuza mapenzi. Demu anataka kushiba, kuvaa vizuri na kunukia vizuri. Bila kusahau alale pazuri. Upendo hufifishwa na ukosefu wa haya mambo.

Yaani demu ana njaa halafu katokea mshefa anamtoa buku kumi akatae kisa anakupenda?

Demu ana kiatu cha mwaka juzi, mini sketi yake imefubaa kwa kuwa imevaliwa miaka 5 bila kubadilishwa. Halafu inatokea mshefa anampeleka boutique akatae kisa anakupenda?

Kakuomba pesa anunue simu mpya au ahame kutoka tochi kwenda touch, ama ahame toka yenye rubber band kwenda kwenye self bound. Ni miezi 6 sasa imepita unapiga danadana. Akitokea mshefa anam-help akatae kisa anakupenda?

Unamlaza kwenye godoro ulilotumia o level, umehama nalo kwenye vyuo vyote ulivyosoma. Limechakaa na lina uvundo wa kila aina. Atokee mshefa kampeleka geto kuna godoro jipyq subwoofer mpya vipafyumu vya rungu kwa mbali akatae kisa anakupenda?
daah mzee umechambua kikamilifu sana,kula gwara
 
Dunia ya leo pesa inaburuza mapenzi. Demu anataka kushiba, kuvaa vizuri na kunukia vizuri. Bila kusahau alale pazuri. Upendo hufifishwa na ukosefu wa haya mambo.

Yaani demu ana njaa halafu katokea mshefa anamtoa buku kumi akatae kisa anakupenda?

Demu ana kiatu cha mwaka juzi, mini sketi yake imefubaa kwa kuwa imevaliwa miaka 5 bila kubadilishwa. Halafu inatokea mshefa anampeleka boutique akatae kisa anakupenda?

Kakuomba pesa anunue simu mpya au ahame kutoka tochi kwenda touch, ama ahame toka yenye rubber band kwenda kwenye self bound. Ni miezi 6 sasa imepita unapiga danadana. Akitokea mshefa anam-help akatae kisa anakupenda?

Unamlaza kwenye godoro ulilotumia o level, umehama nalo kwenye vyuo vyote ulivyosoma. Limechakaa na lina uvundo wa kila aina. Atokee mshefa kampeleka geto kuna godoro jipyq subwoofer mpya vipafyumu vya rungu kwa mbali akatae kisa anakupenda?
DAH: UMESEMA KWEL KIGODORO
 
Nyie watu nyie,,, hata mpewe kiasi gani kwa matumizi ya mwezi hamridhiki hata akiwepo wa hizo 1,2,3 ulizozitaja utatamani awepo mwenye character 4,5 6......1000 na kuendelea, sijui mmezaliwa sayari gani nyie!!!
 
usipoteze muda wako kumuwazia mwanamke kuwa anataka nini ilhali yeye mwenyewe hajui ni nini akitakacho ili atulie...

Ni kheri uwaze pesa na imani yako kuliko kupoteza muda kuwaza kuwafikisha kileleni wanawake wasioongeza thamani katika maisha yako....

mama yangu ni wa kipekee maana yeye kwangu si mwanamke tu bali ni mungu mtu....
kwa wengineee....sorrryyyyy
 
Back
Top Bottom