Mwanaume hasifiwi kuwa na wanawake wengi

Mwanaume hasifiwi kuwa na wanawake wengi

Mkuu umetoa ushauri mzuri. Lakini hiki kizazi kinavyopenda mambo ya upotoshaji sidhani kama watakuelewa.
 
ACHENI UJINGA....

Hivi unawezaje kung'ang'ana na DEM mmoja tuu utabadilisha vipi ladha ya PAPUCHI...

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Si mpaka wakuelewe sasa, akili zishavurugana.
 
Ingekuwa UKIMWI hakuna idadi ingeongezeka zaidi kutoka kujaza Noah mpaka kujaza bus linaloenda mkoani level seat
 
Kifanyio tulipewa cha kazi gani kama hakitumiki ipasavyo.
 
uliyeleta mada umenikumbusha hadithi ya kijana aliyemuuliza baba yake hivi,kuwa ndani ya ndoa unaweza kufananisha na nini?
baba yake akamwambia mwanae,ni sawa na kufuta nyimbo zote kwenye simu then ukawa unasikiliza nyimbo moja tu maisha yako yote.....
wenye akili wote watakuwa wamemuelewa huyo baba!
 
Hivi kama kila mwanaume atakuwa na mwanamke mmoja tu katika maisha yake. ..
Unajua ni wanawake wangapi watakaokosa wanaume..?
(Pitia taarifa za sensa halafu urudi hapa)
 
inazalsha halaf aitunz, kaz kujisifu m nna watoto weng, tabia hii ipo kila sehem ila kwa wanyalukolo irng imezd
 
inazalsha halaf aitunz, kaz kujisifu m nna watoto weng, tabia hii ipo kila sehem ila kwa wanyalukolo irng imezd
Siku hizi wajanja wanasaka wafanyakazi au wanaojiweza kiuchumi, hapo wanajua uhakika wa kulelewa watoto wao upo. Wamekuwa wa hovyo hovyo tu.
 
Hivi kama kila mwanaume atakuwa na mwanamke mmoja tu katika maisha yake. ..
Unajua ni wanawake wangapi watakaokosa wanaume..?
(Pitia taarifa za sensa halafu urudi hapa)
Hebu jaribuni muone kama tutakosa.
 
inazalsha halaf aitunz, kaz kujisifu m nna watoto weng, tabia hii ipo kila sehem ila kwa wanyalukolo irng imezd
Sio kweli mimi nimezaa na mnyalu na anacare sana tofauti na baba wa watoto wangu wakubwa wawili.
 
Bado hujaumizwa!
Wenzio tulishapita huko,
Usidhani mtu anapenda kuwa na relationship mbili au tatu,
Inafika kipindi Moyo huna Majibu kila unayeonana naye, huelewi unampenda au anakupenda upo upo tu,
wapo waliosomesha wakaachwa wakajiua,
wapo waliozalishwa wakatemwa kama Big G,
Wapo waliong'ang'ania miaka na miaka baadaye kaolewa mwingine,
wapo waliotunza sana mademu zao kumbe demu anamchuna anakwenda tumia na wengine halafu nje anasema lile liboya nalilia pesa zake,
Mapenzi hakuna Bongo,
Mapenzi Ulaya, Afrika Biashara.
Kama siyo Biashara haiwezekani Msichana akienda kutambulisha kwao cha kwanza bwana anafanya kazi gani, amejenga au amepanga?? Maswali haya yamekaa kama fursa.
So Usiumize sana kichwa juu ya Mapenzi,
Tunza Sana Afya yako Maana ndiyo hukufanya utabasamu kila unapoiona asubuhi mpya,
Mengine yachukulie poa tu.
 
Back
Top Bottom