Mwanaume halisi ni.....

Mwanaume halisi ni.....

Mwenye pesaaaa...

1.anayeweza kulipia dstv premium hata ifikie 500k

2.ambaye halalamiki jf eti dstv wamepandisha

3.lazma umiliki gari lisilopungua 45mil

4.unampeleka dem mall za maana sio karume au kariokoo

5.ambaye ha report thread kwa mods mada hii inapomgusa

Dr.holygrail rweyemamu
Dstv premium loyalist

Khaa!! Usichanganye bana kuna mbwembwe na sifa kuu. Sifa kuu ni pumzi hizo zote ni mbwembwe tu.. :glasses-nerdy:
 
Mwanaume halisi ni yule ambaye akikukojolea tu tumbo linavimba..
 
Mwenye pesaaaa...

1.anayeweza kulipia dstv premium hata ifikie 500k

2.ambaye halalamiki jf eti dstv wamepandisha

3.lazma umiliki gari lisilopungua 45mil

4.unampeleka dem mall za maana sio karume au kariokoo

5.ambaye ha report thread kwa mods mada hii inapomgusa

Dr.holygrail rweyemamu
Dstv premium loyalist

Hizi ni sifa za mabuzi wanaochunwa na watoto wa kike. Mwanaume halisi ni asieyumbishwa! Ni rijali na mkakamavu. Kupata na kukosa hiyo ni mipango ya mungu. Heb fikiri wanaume wote tuwe matajiri nan atamtumikia mwenzie! Heshima itakuwepo?
 
Mwenye pesaaaa...

1.anayeweza kulipia dstv premium hata ifikie 500k

2.ambaye halalamiki jf eti dstv wamepandisha

3.lazma umiliki gari lisilopungua 45mil

4.unampeleka dem mall za maana sio karume au kariokoo

5.ambaye ha report thread kwa mods mada hii inapomgusa

Dr.holygrail rweyemamu
Dstv premium loyalist

tafakari sana mwanaume halis ni yule mwenye dushe na anajua kupiga gemu,yote uliyoyataja hata wanawake wengi tu wanavyo lakini dushe labda la bandia.
 
Mwenye pesaaaa...

1.anayeweza kulipia dstv premium hata ifikie 500k

2.ambaye halalamiki jf eti dstv wamepandisha

3.lazma umiliki gari lisilopungua 45mil

4.unampeleka dem mall za maana sio karume au kariokoo

5.ambaye ha report thread kwa mods mada hii inapomgusa

Dr.holygrail rweyemamu
Dstv premium loyalist

Mbona umekomalia dstv sana?
Upo kitengo cha sales multichoice nini:sly:
 
Sasa wewe taja sifa za mwanaume halisi halafu usahau sifa ya nguvu za kiume...hata umiliki dunia km mzigoni zero, hamna namna nyingine tena...itabidi upigiwe tu..
 
1.anayeweza kulipia dstv premium hata ifikie 500k

2.ambaye halalamiki jf eti dstv wamepandisha

3.lazma umiliki gari lisilopungua 45mil

4.unampeleka dem mall za maana sio karume au kariokoo

5.ambaye ha report thread kwa mods mada hii inapomgusa
1. Hata watu wengine hatujui tumesubscribe bouquet gani, tunatoa hela tu. By the way, tv siku hizi zinatizamwa na watoto cartoons. Pengine habari/taarifa.

2. Kwani DSTV premium imepanda? Watu kama sisi tunasubscribe bouquet ya mwaka mzima!

3. 45 million! Unajua hizo ni pesa gapi huku kwetu? Just 2.25 million! Hizo ni za kama Premio ama wish! Ungesema kama 80 million.

4. Sehemu za nguvu kama zipi? Sababu wengine tumezunguka dunia hata hiyo outing haina haja kwetu.

5. Complains zako tumezipata tutashughulikia. Pengine ungeacha na namba ya M-pesa kabisa maanake naona unahitaji usaidizi.
 
Mwenye pesaaaa...

1.anayeweza kulipia dstv premium hata ifikie 500k

2.ambaye halalamiki jf eti dstv wamepandisha

3.lazma umiliki gari lisilopungua 45mil

4.unampeleka dem mall za maana sio karume au kariokoo

5.ambaye ha report thread kwa mods mada hii inapomgusa

Dr.holygrail rweyemamu
Dstv premium loyalist


We peleka huko kote ila ujue fika wajanja watampumulia,
Pia hayo yote uloyataja hayakufanyi kuwa gentlemen.
 
Mpaka utake hivyo inamaana wewe huna. Hivyo unajiandaa kuwa mzigo kwa mtu. Mizigo kwa ulimwengu huu wa digital ni shida.
 
Back
Top Bottom