kelvin kilalwe
Member
- Jan 8, 2016
- 66
- 35
Kama utaona mpenzi wako anakwambia atakuoa, basi mwambie mpelekane kutambulshana kwa wazazi ndipo utakapogundua mwanaume anania ya kukuoa ukiona ameanza kigugumizi weka question tag.
napitaKama utaona mpenz wako anakwambia atakuoa, basi mwambie mpelekane kutambulshana kwa wazaz ndipo utakapo gundua mwanaume anania ya kukuoa ukiona ameanza kigugumiz weka question tag???????
mutest kama ni type mnayotaka maana tunataka tupunguze rate ya kuchepukaNa sisi tunaotaka kuoa tukitaka kuwowa tufanye nini mkuu?
Rate ya nani?mutest kama ni type mnayotaka maana tunataka tupunguze rate ya kuchepuka
unatakiwa kuendelea kumchunguza vzur huyo boyfriend wako kwan mtu wa kuoa anaeleweka tu na mtu ambae aoi anajulkan kwahyo hata kama ukiendelea kuwa nae mtu ambae hana nia nawe haitasaidia zaid ya maumivu mbelen bora uanze kuyazoea maumivu mapemaaaaaakiweka kigugumizi na huku ameshakukula mda mrefu inabidi tu umvumilie uendelee kuliwa au inabidi usepe eb tushauri
mimi break ya kwanza kwa mama yako hutaki kwaheri na papuchi hupati
Waoaji na wasio waoaji hawana alama usoniunatakiwa kuendelea kumchunguza vzur huyo boyfriend wako kwan mtu wa kuoa anaeleweka tu na mtu ambae aoi anajulkan kwahyo hata kama ukiendelea kuwa nae mtu ambae hana nia nawe haitasaidia zaid ya maumivu mbelen bora uanze kuyazoea maumivu mapemaaaaa![]()
![]()
![]()
asante mkuuunatakiwa kuendelea kumchunguza vzur huyo boyfriend wako kwan mtu wa kuoa anaeleweka tu na mtu ambae aoi anajulkan kwahyo hata kama ukiendelea kuwa nae mtu ambae hana nia nawe haitasaidia zaid ya maumivu mbelen bora uanze kuyazoea maumivu mapemaaaaa![]()
![]()
![]()
Ahaaa nilikuwa nina mpango wa kukupa mdogo wangu sasa imekula kwako.Nyumbani kufanya nn??
Kwani anaolewa na wazazi au mimi
Usinibanie dada ake ww nipe tuAhaaa nilikuwa nina mpango wa kukupa mdogo wangu sasa imekula kwako.![]()
![]()
Na mm bila kumega kwanza sikutambulishi ng'omimi break ya kwanza kwa mama yako hutaki kwaheri na papuchi hupati